Bwege Hatari
Member
- Oct 19, 2018
- 71
- 40
Dah mimi msg imeingia leo wakuu, nilipoona ile we regret tu nikaona hakuna jambo uko
Mkuu uko kanda ipi??Oooh Glory Glory Glory to God.. Hata mimi kikombe kimenifika wakuu
Ahsante Mungu!
Very true MkuuThat is a good practice. It bring a closure- A form of psychological relief by knowing that a certain matter has been concluded. It gives a chance to move on.
Mbona mi sipati tuuuu...Dah mimi msg imeingia leo wakuu, nilipoona ile we regret tu nikaona hakuna jambo uko
unaitamani eeh,wanatuma alhamis na ijumaa subiri keshoMbona mi sipati tuuuu...
Ni bora uipate ujipange kuliko kukaa na kujipa moyo...unaitamani eeh,wanatuma alhamis na ijumaa subiri kesho
Central zone mkuuMkuu uko kanda ipi??
😁😁😁na iwe kweliAfu ujue we utapata yaani nakuona paleee ofisi za NMB umevaa Yale mashati ya blue...kweli eti.
jina lako bado halijapitiwa. uliomba tarehe ngapi.?Mbona mi sipati tuuuu...
we uliomba tareh ganijina lako bado halijapitiwa. uliomba tarehe ngapi.?
5 augustwe uliomba tareh gani
Sikumbuki tarehe lkn ni August nadhanijina lako bado halijapitiwa. uliomba tarehe ngapi.?
Mbona waliopata nao wajitokeze basi.. maana kila kakosa.. yaan mtu kapiga BAF, BCOM lkn anakosa ss hapo vigezo ni nn wakati walihitaji hata wasiowazoefu...??Mwenyewe nimekatwa mida kama saa 6 hivi nimetumiwa Email, Highland Zones hiyo. Nadhani hilo zoezi la Emails bado linaendelea
Mi nakazia tu,Watu wamesha wekwa.. Kwann hamtaki kuamini ukweli
hadi tupate email ndio tutajua...Mi nakazia tu,
na kuweka nukta . hapo mwishoni!.
Usisikitike mkuu, utapata nafasi nyingine kama siyo kwao basi kwingineko kokote, cha msingi ni kuendeleza hustles tuNimeipata email yao
Masikitiko nimekosa nafasi