Nafasi hizi hizi! daahCentral
Nafasi hizi hizi! daah
Acha uongo
niliomba northen zone mkuu... email yao sijapata.
Utakua ndo ushapitaMimi pia niliomba Northern zone.. Sijaoata hiyo email. Kuna aliomba northern pia amepata?
Kila mtu akkenda kulima nani atakuwa mnunuzi?Jamani vijana kalimeni matunda na mboga mboga Mfano someni hapa
Nufaika Na Kilimo Bora Cha Matango - MUUNGWANA BLOG
wewe tumekuchagua uje ulime ,soko la mazao ya kilimo halina ukomo ,uwezo wa kuajiri unaukomo mkuu hiviunajua ukilima matango ekari 1 kwa wewe mwenyewe kusimamia sio kwa simu unauhakika wa kupata faida ya mil 6 baada ya mwezi na nusu tuu mtaji ukiwa hauzidi 1 mil mkuu maana yake mkulima mmoja wa matango ekari moja anamshahara mkubwa kulkiko maafisa watatu wa NMB tena masupervisor ,my dear hard way the only wayKila mtu akkenda kulima nani atakuwa mnunuzi?
Yaani we cha kufanya mshahara wa kwanza nitumie hata elfu kumi.Mkuu castr unaconclude kwa confidence mwenyewe
wewe tumekuchagua uje ulime ,soko la mazao ya kilimo halina ukomo ,uwezo wa kuajiri unaukomo mkuu hiviunajua ukilima matango ekari 1 kwa wewe mwenyewe kusimamia sio kwa simu unauhakika wa kupata faida ya mil 6 baada ya mwezi na nusu tuu mtaji ukiwa hauzidi 1 mil mkuu maana yake mkulima mmoja wa matango ekari moja anamshahara mkubwa kulkiko maafisa watatu wa NMB tena masupervisor ,my dear hard way the only way
acha kukatisha tamaa mkuuNMB ni zaidi uijuavyo.
Undugulization mwanzo mwisho.
Wenzenu wanafanya oral interview Jumatatu wengine mnapewa mkono wa kwa heri.
mimi nikipata tu.... mshahara wa kwanza nitaomba nikutafute... dah nikikumbuka ulivyonisaidia hadi kupata hile confirmation email, haikua kazi rahisi, i hope na wewe unakumbuka mkuu.... endelea na moyo huo huo one day yes.Yaani we cha kufanya mshahara wa kwanza nitumie hata elfu kumi.
Hahaha ilitokea tu kwamba I know a thing or two. Nina uhakika yeyote angefanya nilichofanya, tafadhali usihisi una deni kwangu.acha kukatisha tamaa mkuu
mimi nikipata tu.... mshahara wa kwanza nitaomba nikutafute... dah nikikumbuka ulivyonisaidia hadi kupata hile confirmation email, haikua kazi rahisi, i hope na wewe unakumbuka mkuu.... endelea na moyo huo huo one day yes.
hiyo itakua ni ofa yangu kwako mkuu... usijali tupo pamoja.Hahaha ilitokea tu kwamba I know a thing or two. Nina uhakika yeyote angefanya nilichofanya, tafadhali usihisi una deni kwangu.
Hakuna inayoranda randa ni unakodi being haizidi 70 kwa ekari morogoro inamaeneo mengi ishu ni usilime kwa simu naenda kalime ukishirikiana na wanakijiji wenzako hamia ni mwezi na nusu hutakaa uapply vikazi vya kuamshana SAA kumi. na mbiliHebu subiri kwanza chief.
Kuna ardhi inaranda randa.
Kwahiyo nahitaji nini na nini katika hiki kilimo?
Naomba dosier ya gharama na soko.
acha kukatisha tamaa mkuu
mimi nikipata tu.... mshahara wa kwanza nitaomba nikutafute... dah nikikumbuka ulivyonisaidia hadi kupata hile confirmation email, haikua kazi rahisi, i hope na wewe unakumbuka mkuu.... endelea na moyo huo huo one day yes.
Ooh nilivyosema inaranda randa nilimaanisha ni ipo tu haina kazi.Hakuna inayoranda randa ni unakodi being haizidi 70 kwa ekari morogoro inamaeneo mengi ishu ni usilime kwa simu naenda kalime ukishirikiana na wanakijiji wenzako hamia ni mwezi na nusu hutakaa uapply vikazi vya kuamshana SAA kumi. na mbili