miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
- Thread starter
- #21
hivi ni criteria gani zimetumika kukata watu bila hata test jamani
hivi ni criteria gani zimetumika kukata watu bila hata test jamani
Mkuu hapo mahali unaandika pana kidude cha "attach files" unaweza kuchagua file format yeyote nankuattach.nipe email yako pm
Sijajua kwa kweli. Saa nyingine unakuta wanapima degree of unemployment.hivi ni criteria gani zimetumika kukata watu bila hata test jamani
Mkuu ina maana wameishaanza kuita wa kwenda Written?ok pole .....jaribu kuomba nafas zingine wametoa kwa highlands zone japokua ni direct sales staff na deadline kesho
uliomba kanda gani mkuu.... dah, pole sana nakumbuka ulinisaidia sana wakati wa kuaply. jaribu kuomba hizo za direct sales kabla leo haijaisha maana leo ndo deadline. hata mimi nime omba hizoHakyamungu ninachoshukuru uzoefu wangu wa kushabikia Arsenal ndiyo unanifanya niwe na moyo mgumu la sivyo presha ingeshanimaliza. Sasa naona email kutoka NMB najua ndiyo swala limeeleweka kumbe mambo ni arijojo
Niliombea kanda ya Lindi. Vipi uliomba kanda gani chief? Umefanikiwa?uliomba kanda gani mkuu.... dah, pole sana nakumbuka ulinisaidia sana wakati wa kuaply. jaribu kuomba hizo za direct sales kabla leo haijaisha maana leo ndo deadline. hata mimi nime omba hizo
nafaham wa central zone aliyepata email,na wa northen zone pia so wameanza kutuma kwa zones zoteMkuu ina maana wameishaanza kuita wa kwenda Written?
Ni kwa kanda zoote au ni baadhi
kaa mkao wa kuitwa interview means chujio limekubakizaMimi sijapata hiyo email.
niliomba northen zone mkuu... email yao sijapata.Niliombea kanda ya Lindi. Vipi uliomba kanda gani chief? Umefanikiwa?
Kwa maelezo ya wenzetu hapa inaonyesha kutopata email ni kufanikiwa. Nakutakia kila la heri chief.niliomba northen zone mkuu... email yao sijapata.
ok. tuombe mungu mkuu, isije ikawa muendelezo wengine wakatumiwa leo🙆😿 maana kwenye maelezo yenu naona wengine wamepata juz wengine janaKwa maelezo ya wenzetu hapa inaonyesha kutopata email ni kufanikiwa. Nakutakia kila la heri chief.
Pamoja Chieft
ok. tuombe mungu mkuu, isije ikawa muendelezo wengine wakatumiwa leomaana kwenye maelezo yenu naona wengine wamepata juz wengine jana
hahahahahaa wengine wako kwenye quet
ok. tuombe mungu mkuu, isije ikawa muendelezo wengine wakatumiwa leomaana kwenye maelezo yenu naona wengine wamepata juz wengine jana
😿🙆🙆🙆🙆hahahahahaa wengine wako kwenye que
hahahahahahahaahwatu walizoea kuona email za kuitwa .lakin sasa mtu atakaa na kuomba asitumiwe email
mimi sijapata hiyo email mpaka muda huu ndo tuseme wameshamaliza kutuma email? watu matumbo joto hatari hahahahahah tulizoea email za kuitwa sasa leo unatumiwa email ya kutoitwa hizi ajira zina mambo aiseet
ok. tuombe mungu mkuu, isije ikawa muendelezo wengine wakatumiwa leo🙆😿 maana kwenye maelezo yenu naona wengine wamepata juz wengine jana
Samahani Mkuu, email wanazituma kwenye mail zetu za kawaida au ile tuliyotengeneza pind tuna applykaa mkao wa kuitwa interview means chujio limekubakiza