james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 547
- 472
Nimeshanga sana app hii ni lishajiunga muda sana kama miezi sita nyuma nikawaa naitumiatumia sasa majuzi nikapata shida kidogo nikawa nataka kuitumia ss nachoshangaa kilaa nikiijatibu inaniandikia service unavailable ss sijui kunatatiz naomba kujuzwa zaid kwa anayefahamu zaid