fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,413
- 7,967
Ni kweli,ila huyo ndiye aliyemlea tshabalalaKafunga ndoa na Bibi Harusi.
Maisha ya mapenzi ni fumbo.
Ni kweli kaoa Bibi yake, yaani mama mzaa mama.
Ni kama Raisi wa Ufaransa, kamwoa Bibi yake, yaani kikongwe.
Maisha pia ni fumbo pia.
Tumsamehe tu Shabalala
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app