Majeraha ya mapenzi hayaponi kwa kuwa hayana tabibu, Kaizer anatetea chama cha cdm.
hebu kuja huku wewe..!!
Utapona kwangu kichunafk manake ninae mmoja tu miss neddy lakini tangu jana tuwe bar, alivyoandoka ondoka wala sijui... alikoenda kalala huko huko, cjui guest wala cfahamu... sa' naona bora matala tu hapa, unasemaje mrembo?mmhhhh, kweli tutapona hapa?
Utapona kwangu kichunafk manake ninae mmoja tu miss neddy lakini tangu jana tuwe bar, alivyoandoka ondoka wala sijui... alikoenda kalala huko huko, cjui guest wala cfahamu... sa' naona bora matala tu hapa, unasemaje mrembo?
Ina maana huyo miss neddy aliyesema hataki tena kuwa na Asprin kumbe ilikuwa ni fix enh? Ndoooo maaaaaana sijamuona tangu aage anaenda msalani hajarudi tena! Lakini miss neddy mwenyewe akikuuliza, mwambie mimi na wewe ni ndugu, sawa?
age: 45
maritual status: unknown
residence: kilimanjaro
tribe: nimesahau ngoja tamuuliza mama
occupation: all
Utapona kwangu kichunafk manake ninae mmoja tu miss neddy lakini tangu jana tuwe bar, alivyoandoka ondoka wala sijui... alikoenda kalala huko huko, cjui guest wala cfahamu... sa' naona bora matala tu hapa, unasemaje mrembo?
hamna bhana, mi wewe tu... huyo kichunafk mwenyewe mbayaaaaaaa... mi wa nini!yamekuwa haya basi sawa
hamna bhana, mi wewe tu... huyo kichunafk mwenyewe mbayaaaaaaa... mi wa nini!
Thubutu, huo ubavu n'nao! nikukandie wewe afu iweje!?nikiwa sipo unanikandia tu
Thubutu, huo ubavu n'nao! nikukandie wewe afu iweje!?
Mimi kabila ni msichana
Jinsia =njoo chumbani ujionee
Uhusiano=Mungu ndo anajua
Location=wajanja wa town jirengeshe uone
Age=20s
Status:namfukuzia mrembo mmoja hivi huu mwaka wa 3 hata pichu yake sijaona
Vp niendelee?
naona tumaneno twako ulitu-miss kama ambavyo niliku-miss hadi nikajisikia kuugua yaani!haha haya buana