Njooni tufahamiane wana MMU

Njooni tufahamiane wana MMU

Asili : mzee wa darisalama
Marital status: muulizeni Lulu
Umri: 72yrs
Kazi: Lumumba buku ten
 
Mimi kabila ni msichana
Jinsia =njoo chumbani ujionee
Uhusiano=Mungu ndo anajua
Location=wajanja wa town jirengeshe uone

Age=20s
Status:namfukuzia mrembo mmoja hivi huu mwaka wa 3 hata pichu yake sijaona
Vp niendelee?

ishia hapo hapo mkuu yatosha
 
Occupation: sex monger
Asili: katikati (mpare & mrangi)
Umri: katikati ya 20s&30s
Kabila: katikati
Marital status: in btn single & married
Napenda: katikati
 
mnh! na kanyeramumo mbona kwa mbaaaaali inafanana kama na "gogo kakatia humo humo!!!" au mawazo yangu tu atoto?

yes au waweza iita 'mama ninyeje' hiyo
 
Last edited by a moderator:
yes au waweza iita 'mama ninyeje' hiyo
mnh! mie kila cku nilivyokuwa naona atoto basi nikajua kama katoto fulani hivi... sa' mbona tumaneno twako ni twa kiutu uzima?!!
 
Last edited by a moderator:
mnh! mie kila cku nilivyokuwa naona atoto basi nikajua kama katoto fulani hivi... sa' mbona tumaneno twako ni twa kiutu uzima?!!
atoto has a story behind it so usiitafsiri na katoto, mie mtu mzima kabisaaaa
 
Last edited by a moderator:
Jina; appohong james
kazi:mwalimu & mfanyabiashara
marital status;im married
umri: 32
asili;shinyanga
kabila:msukuma
 
Kwahiyo atoto ndo umegoma kunipa hilo darsa la cc? wallah tena cfahamu....
 
Last edited by a moderator:
Eli79 Kanyeramumo ni kinguo cha kuvaa ambacho unaweza kunyea humohumo kwenye kanguo huna haja ya kuvua ....!!!!!!
kazi ni kwako hata kujamba inaruhusiwa ...!!!!!
 
Back
Top Bottom