Njooni tufahamiane wana MMU

Njooni tufahamiane wana MMU

Ila hizi introduction mi nimejaribu kupiga chabo sijaona hata ya kuigilizia ngoja nikamwulize mwl wangu nianzaje ntarudi hapa tena!!!!!
 
Naomba maana ya kanyeramumo..! Sijawahi kusikia hilo neno..!!
Eli79 kwa kiingereza nadhani wanaziita jam suit, yaani hizo ni full surali na shati hapahapo kuivua pia ni shughuli
 
Last edited by a moderator:
Sex;male
asili; mbeya
kabila; nyakyusa
umri: 25
kazi;daktari wa maradhi ya akina dada tu
marital status; nafasi bado ipo ikijaa ntawaambia
naishi;magomeni dar es salaam
phone;0756-41040_
 
Occupation: Team jobless,

Kabila: Mzaramo by birth

Age: 13 years ( by Ethiopian calendar)

Marital status: Single but occupied.....
 
Eli79 kwa kiingereza nadhani wanaziita jam suit, yaani hizo ni full surali na shati hapahapo kuivua pia ni shughuli


Jam suit waivalia wapi? Au unaishi maeneo yenye baridi sana?? Kiswahili kigumu aisee..
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni kama ifatavyo:
Occupation :Mpigisha katerero .
Asili: Ng'wanza land.
Kabila:Mgagagigigoko.
Umri :xxx ya kirumi.
Marital status: Still searching.
 
we ukifika Capetown ulizia Bwashee,toleo la mwisho kabisa la vijana waliongia SA kwa Miguu,Nilikimbia kuendelea na shule baada ya kumaliza kidato cha 4 kwa tamaa za utajiri(lengo limetimia) Nina umri chini ya miaka 30.Nimeoa mwanamke wa Msumbiji tumebarikiwa watoto wawili wa jinsia ya kike na kiume.Nafanya biashara halali kwa sasa....nimejitahidi kuwekeza sana nyumbani kwa level za kawaida sana.Sina mpango wa kuja kuishi TZ Mungu amenijalia Mji huku nilipo
 
Last edited by a moderator:
Ina maana huyo miss neddy aliyesema hataki tena kuwa na Asprin kumbe ilikuwa ni fix enh? Ndoooo maaaaaana sijamuona tangu aage anaenda msalani hajarudi tena! Lakini miss neddy mwenyewe akikuuliza, mwambie mimi na wewe ni ndugu, sawa?
Yani miss neddy hanitaki tena??.... Ni sawa na JK aseme hataki tena kupanda ndege....
 
Last edited by a moderator:
Asprin labda tu nikukumbushe kwamba Braza JK hataki tena kupanda ndege baada ya kuona imemsababishia kupata tezi dume! Hello my oxygen miss neddy, come here my beautiful princess umkane hadharani huyu Asprin

Kwa taarifa yako..... Mzazi wako JK leo anateua baadhi ya mawaziri kuziba pengo la Escrow..... ili kesho adamke kuwaapisha kabla hajakwea pipa kuelekea Davos.....

Wakati mzazi wako akijiandaa kwa safari hiyo, miss neddy naye anajiandaa kesho aniletee naniliu niinaniliu
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako..... Mzazi wako JK leo anateua baadhi ya mawaziri kuziba pengo la Escrow..... ili kesho adamke kuwaapisha kabla hajakwea pipa kuelekea Davos.....

Wakati mzazi wako akijiandaa kwa safari hiyo, miss neddy naye anajiandaa kesho aniletee naniliu niinaniliu
Hahahaaa... pole sana Asprin, natamani ningekusaidia, sema ndo hivyo tena, sina namna! mtoto mzuri miss neddy, anaye-hold Premium ISO standard, hii ndio kauli yake:
hahaha babu bhana siku hizi nishakutoa kwenye kapu niko na NasDaz
omg! so beautiful!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom