Unataka wasifu sio? Mbona unaufahamu au unataka kujishaua tu hapa? Au lengo lako ni kunidhalilisha wakati nilikuwa PM hivi punde nikimpiga mtu sound kwamba zile za Escrow kupitia Stanbic, kuna jina langu pale! Sio issue, akikuuliza mwambie NasDaz alikuwa anatania tu na hii profile:hahahha wacha wafe mwaka wetu huu hebu weka kwanza wasifu wako kiduchu
Mhh!!!Watakuja watu na status za complicated hapa! halafu wengine wataandika single wakati sio hahahah!team bazazi😛eep:😛eep:
dushe??
Unataka wasifu sio? Mbona unaufahamu au unataka kujishaua tu hapa? Au lengo lako ni kunidhalilisha wakati nilikuwa PM hivi punde nikimpiga mtu sound kwamba zile za Escrow kupitia Stanbic, kuna jina langu pale! Sio issue, akikuuliza mwambie NasDaz alikuwa anatania tu na hii profile:
Jina: NasDaz
Kazi: Muuza Maneno Hapa Mjini
Umri: 25-45 gawanya kwa mbili mara sita.
Marital Status: Single but full kummezea mate miss neddy
Hobby: Kuhonga... yaani napenda kuhonga mimi jamani, utadhani nimerogwa.
Kauli Mbiu: Kuchunwa ni kuchunwa mbaya kuchunwa bila kuchuna!
Asili: MZAMBIA
Kabila: mchewa
occupation: kukuna vitambi vya akina babu
Age: 35-40
Marital status: Nalelewa na babuuuuu.
Unataka wasifu sio? Mbona unaufahamu au unataka kujishaua tu hapa? Au lengo lako ni kunidhalilisha wakati nilikuwa PM hivi punde nikimpiga mtu sound kwamba zile za Escrow kupitia Stanbic, kuna jina langu pale! Sio issue, akikuuliza mwambie NasDaz alikuwa anatania tu na hii profile:
Jina: NasDaz
Kazi: Muuza Maneno Hapa Mjini
Umri: 25-45 gawanya kwa mbili mara sita.
Marital Status: Single but full kummezea mate miss neddy
Hobby: Kuhonga... yaani napenda kuhonga mimi jamani, utadhani nimerogwa.
Kauli Mbiu: Kuchunwa ni kuchunwa mbaya kuchunwa bila kuchuna!
Babu mwingine nipo hapa.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
aaaaA!!!! wewe mbona kama unaonekana babu maskini????? gharama za kukunwa kitambi utaziweza wewe??? wewe baki tu ulime babu.
Hahaha hapana mm sio babu maskini..!! Gharama kila kitu naweza kuliko hawa vijana wa siku hizi.. Utatamani kurudi kwa uyo babu mwingine
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Dah,eeh mola,tampata wapi mie!!!Mambo unayaweza lkn?
Ah! We nawe... fursa za warembo au fursa za mrembo... tena hiyo status nahisi kuna kajishetani kakapindisha mwandiko, ilipaswa kuwa Engaded To miss neddy ili kuwazibia wote wanaonimezea mate kutokana na hobby yangu ya kuhonga!hahaha unajiita single ili usizibe fursa za warembo
Mmmmh dushe tena....
Babu inaijua rate ya $ kwa sasa????? babu jangalie wewe, usije ukajikuta hata hako kashamba unakauza hela yote unanitumia kwa m-pesa ooooho!
age: 45
maritual status: unknown
residence: kilimanjaro
tribe: nimesahau ngoja tamuuliza mama
occupation: all
Ah! We nawe... fursa za warembo au fursa za mrembo... tena hiyo status nahisi kuna kajishetani kakapindisha mwandiko, ilipaswa kuwa Engaded To miss neddy ili kuwazibia wote wanaonimezea mate kutokana na hobby yangu ya kuhonga!
Hivi hayo maneno umeyaandika mahali na huwa unasubiri wakati tu uya-copy na ku-paste, au?hahaha haya bhana