OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 670
Naendelea kuchunguza hizi takwimu za sensa za mwaka 2022 na kuendelea kujiuliza sababu ya kugawanya mikoa na wilaya. Kwa watoto lazima mjua baadhi ya mikoa ilikuwa wilaya tu awali, mikoa hiyo ni pamoja na Songwe, Katavi, Geita na Njombe.
Leo nimeangalia mkoa wenye watu wachache nchini Tanzania, mikoa ya Zanzibar ina watu wachache. Lakini kwa kufananisha mikoa ya bara pekee, mkoa wa Njombe ni mkoa wenye watu wachache zaidi nchini.
Je, ni kweli tunaanzisha wilaya na mikoa kwa ajili ya kupeana zawadi kwa nafasi za teuzi. Je ugawaji wa mikoa na wilaya unaongeza tija kwa maendelea ya sehemu husika?
Kwa kuzingatia gharama za uendeshaji mkoa, Je ni kweli tunazingatia kuona umuhimu wa kuwa na mikoa mingi. Kama tutahofu kuhusu ukubwa wa eneo kijiografia, hatuoni kuwa tunatoa umuhimu kwa nchi kugawwa ili kuwa na marais wawili kuunguza mzigo.
So manya questions.
Leo nimeangalia mkoa wenye watu wachache nchini Tanzania, mikoa ya Zanzibar ina watu wachache. Lakini kwa kufananisha mikoa ya bara pekee, mkoa wa Njombe ni mkoa wenye watu wachache zaidi nchini.
Je, ni kweli tunaanzisha wilaya na mikoa kwa ajili ya kupeana zawadi kwa nafasi za teuzi. Je ugawaji wa mikoa na wilaya unaongeza tija kwa maendelea ya sehemu husika?
Kwa kuzingatia gharama za uendeshaji mkoa, Je ni kweli tunazingatia kuona umuhimu wa kuwa na mikoa mingi. Kama tutahofu kuhusu ukubwa wa eneo kijiografia, hatuoni kuwa tunatoa umuhimu kwa nchi kugawwa ili kuwa na marais wawili kuunguza mzigo.
So manya questions.