Niwafanye nini watu hawa?


Ww ndio unamuona mdg lkn ndio akishakuwa mama yako ww unakuwa mdg...dharau ya nn wakat baba yako ndio anaponea hapo na huwezi kumpangia mwanamke wa kuwa naye...utake usitake yeyw ndio anaamua nani wa kumpa dudu lake
 
Hongera sana.

Apo kwenye bold panaonesha unafikiri vizuri. Maana wengi ungewakuta wakisema ''NIKAJIKUTA''

hahahaaaa ahsante
watu wanajisahau kabisa kuwa ni binadamu na kwamba ipo siku wanaweza kukutana na situation ikawafanya wa'react ndivyo sivyo
 

Sasa huyo anayekubandua mwambie akuoe uhame nyumbani umpe baba yako uhuru wa kufanya mambo yake na mama yako mpya
 
Mwana mwenye hekima umfurahisha babaye,bali mwana -------- ni mzigo wa mamaye.
 
Sasa huyo anayekubandua mwambie akuoe uhame nyumbani umpe baba yako uhuru wa kufanya mambo yake na mama yako mpya

ngoja tu nicheke
narudia tena zipo sababu zinazoniweka hapa na hayo mambo ya kuoana sio ya kuharakisha tu ili niondoke nyumbani
sijamnyima uhuru wowote kwa sababu sijasema eti sitaki awe na mwanamke loh
 

Kwani huyo maid ana miaka mingapi? Kama ni chini ya 18 then una haki ya kughafirika., though hii sidhani kama ni chanzo.

Nafikiri tatizo ni yeye kufanya Siri, au kujiiba. Pole, lakini huwezi jua mzee wako anafikiria nini., may be anapanga kuwataarifu baadaye.

 
anaye lala na baba yako ndio mama, put it the other way around then jifunze adamu, kwani haujui manabii wa Mungu nao kuna mazingira yalisababisha wakalala na wasaidizi wao
 
mrsleo, hujanielewa bado. unajua tunachoongelea hapa haina tofauti na justification ya kumtukana mama mkwe kwa sababu kakuudhi na kukuingilia ya nyumbani kwako? kwa malezi niliyolelewa mimi, huko nyumbani mimi ni mwanamke, ni mtoto pia. hata mama mkwe anitukane na kunisukuma, nitaondoka na kufanya kesi baadae. sina ruhusa ya kumtukana wala kumrekebisha. siwezi kum'bwatukia pia kwa sababu ya umri wake na nafasi yake pia.

Baba hakosei, na ukihisi kakosea unaenda kumshtaki kwao. Utashangaa huyo maid akiwa oficially mama utalazimika kumheshimu hahaha, hakawii kukutuma maji ya kunywa. dawa kuwa shosti ili akuonee aibu lol. Its not about who is right or wrong, baba ni baba tu mdogo wangu, na cha mlevi huliwa na mgema
mmh na mimi kwa kweli huwezi kunishawishi kwamba anachokifanya ni sawa, kwa mtazamo wangu what he is doing is soooo wrong in so many ways
 
Last edited by a moderator:
Msongo msongo msongo ni kitu kibaya....... Mzazi wako mpe heshima usiweke kichwa chako na kichwa chake sawa/sambamba !!
Kosa limetokea kweli, lakini wewe jiepushe kuwa jaji au hakimu...angalia maisha yako ya mbeleni !!
Jitunze na ujivfunze kuvumilia ..huko mbele kuna zaidi ya hayo...!! ubarikiwe mpendwa.
 
unaniiga sana, nakupendaga bure.

Mie siwezi shindana na mchepuko wa mdingi, kwanza simwonei wivu.

Na kumkaripia mtu mzima yataka moyo.

Utanidai dozi.

 
Last edited by a moderator:

khaaaaaa, its time we stop siding at the wrong dids trying to make them appear right.
 
Tukutane kwenye urojo unipe ofa basi. Mefulia kama mdhungu.

Afu wewe huwa nahisi ni mdogo wangu wa kambo, huyu baba kitembezi aka Mtambuzi, kaacha mbegu hadi kwenye mataruma ya reli. Hatuna undugu kweli wewe?
unaniiga sana, nakupendaga bure.

Mie siwezi shindana na mchepuko wa mdingi, kwanza simwonei wivu.

Na kumkaripia mtu mzima yataka moyo.

Utanidai dozi.
 
Last edited by a moderator:

nakuelewa sana, ila napata shida kukubaliana na wewe
 
we kama umekua bora ujitafutie maisha yako uondoke hapo nyumbani mapema....kwa sbb huna haja ya kuingilia maisha ya watu wazima wenye akili timamu......

kwani huyo baba yako yeye haoni kama ni vibaya? kama haoni wewe unataabika nn mwache na upuuzi wake
 
he he he, leo siendi. Naogopa utanibamba.

Tukutane kwenye urojo unipe ofa basi. Mefulia kama mdhungu.

Afu wewe huwa nahisi ni mdogo wangu wa kambo, huyu baba kitembezi aka Mtambuzi, kaacha mbegu hadi kwenye mataruma ya reli. Hatuna undugu kweli wewe?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…