Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
Ubanwe na vyuma hadi pichu nayo ikubane!mie pichu imebana kbs hapa
Ubanwe na vyuma hadi pichu nayo ikubane!mie pichu imebana kbs hapa
Mara nyingi tatizo hili husababisha na matatizo ya kisaikolojia. Ugomvi, stress, uzazi, depression mara chache inatokana na matatizo ya homoni na maumivuKinachosababisha kukosa hamu ya tendo la ndoa ni nini?
🕊🕊Ubanwe na vyuma hadi pichu nayo ikubane!
umenifurahisha sana ..yaan wwMbona wacheka shem?
Hapo ni ufundi wako braza, there is no magic numberAlaaa kumbeee.
Na vipi mwanamke kuanzia kumchezea achezewe kwa dk ngapi?,na kumtiyer mkuyenge usugue mda gani ili aridhikena kufika kileleni?
Mara nyingi tatizo hili husababisha na matatizo ya kisaikolojia. Ugomvi, stress, uzazi, depression mara chache inatokana na matatizo ya homoni na maumivu
Au ndio wewe umenijia na I'd feki nini?umenifurahisha sana ..yaan ww

Wakati wa kilele anamwaga maji mithili ya bombaSquirting ni nini? Kwa mwanamke ?
Papa unazinguaSiku hizi wanakojoa chooni. Jaribu kuangalia chooni
Kuna watu wana matatizo dunia hii. Kama unakosa raha hiyo; ndio ujue watu wana matatizohivi inakuwaje unakosa kbs hamu ya dudu tena ukifanya unajikuta unachubuka tu..lakini kwingine hamu daily😶 .ni kujitune au?
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.
Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.
Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.[/QUO1
During sexual activity,nmeona baadhi ya wadada kuna fluid fluid flani hiv ambazo znakuwa kama povu oovu huwa zinatokaaa lakini kwa wengine wengi wengi hivi sijawahi kuona hiyo kitu despite the fact yakufka kileleni,,yanii wanamwaga na kufka kileleni lakin hawatoi hayooo mapovu povuuu,,,je haya mapovuu ni nini hasa mm huwa siyakubali wala nini coz kuna X flani hivi duuuu ndio kayajaza kama yoteeee,,,alafuuu they look lyk meupeee meupeeee,,msaada mkuuu,,,nielezeee vizuri kuhusu haya mapovuuu?
Sigara haina faida yoyoteSijui hata ladha ya sigara kaka
Mpaka mwisho utakuwa le profeserDuu nimepata elimu ya kutosha humu humu kiasi najiona nina PhD 😀😀
Asante kwa jibu zuri,naomba kujua kinachosababisha mwanamke kutokwa na harufu mbaya ukeni nini?maana hiyo harufu hata uoge vipi haiishi,je tiba yake nini?Mara nyingi tatizo hili husababisha na matatizo ya kisaikolojia. Ugomvi, stress, uzazi, depression mara chache inatokana na matatizo ya homoni na maumivu
Sigara haina faida yoyote
😂😂😂huenda hujaelewa swal langu haya tuendeleeKuna watu wana matatizo dunia hii. Kama unakosa raha hiyo; ndio ujue watu wana matatizo
Kuna mambo mengi sana ambayo yanaathiri, lakini muhimu ni utayari wa mwanamke na ufundi wa mwanaume. Bila mwanamke kuwa tayari utakesha unasuguaNajibu kufuatia na mie ni ke..hapa inategemea na saikolojia ya mwanamke amejiandaaje... kama ana stress kazima umsaidie kumuweka sawa
Asante kwa jibu zuri,naomba kujua kinachosababisha mwanamke kutokwa na harufu mbaya ukeni nini?maana hiyo harufu hata uoge vipi haiishi,je tiba yake nini?