Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Tatizo la kusikia mauvimi chini ya tumbo upande wa kushoto na kulia na kutoa uchafu mzito wenye rangi ya brown ila usio na harufu (uchafu unakuwa kama umechanganyika na damu)
 
Ukubwa au udogo wa uume hauna maana kitandani. Ukiona mwanamke analalamikia size ya maumbile yako ni kwamba haumridhishi. Kuwa mtundu zaidi kitandani. Umepewa vidole, ulimi, midomo na dudu. Vitumie vyote. Soma kwenye mitandao mambo hayo Siku hizi yameandikwa kila mahali
mdomo wanasema kuna fangasi!
 
Tatizo hilo pasipo shaka kama mwanamke yuko sexually active ana maambukizi ya bakteria aina ya Klamidia (Chlamydia) .Ni ugonjwa ambao unaathiri wanawake wengi na pia unaweza kusababisha ugumba.
tiba yake?
 
Ndugu yangu majibu yatakuhuzunisha sana. Kuna sababu mbalimbali moja ni kwa sababu wanawake wengine wanataka ujione kidume, wengine wanataka uwahi kumaliza. Sio kila mwanamke anayepiga makelele una mkuna
wengine wanafurahia mchezo!!!
 
Swali lako linajibiwa na kifungu kutoka kwenye biblia. Ishini na wanawake kwa akili. Kutokana na mapungufu niliyosema kwamba wanawake wanatumia hisia sana kuliko akili. Hivyo anaweza kutumia hisia hizo akafanya jambo la ajabu sana. Ambalo akitulia analijutia
hata adamu aliwashindwa
 
1.Kwa wastani mwanamke anaweza kufika kileleni baada ya dakika ishirini. Huu ni wastani. Hata hivyo kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke mmoja na mwenzake.
2.Mara nyingi mwanamke kuchelewa kukojoa inatokana na matatizo ya kisaikolojia. Ni mara chache sana huwa wana matatizo mengine ya kiafya mfano matatizo ya homoni.
mbona wengine wanasema ukimuandaa vizuri anaweza kukojoa hata kabla hujaingiza dyudyu
 
Back
Top Bottom