Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Mleta mada, Kwanini wasagaji wameongezeka siku hizi? Ni raha gani wanaipata?

Usimquote mtoa mada ukaniquote mimi nyie straight pipo ni wakorofi sana lol, haya jibu umepewa nakazia kwenye point ya kwanza na ya pili.

Kuna sababu nyingi sana moja ni kwamba uwazi umekuwa mkubwa sana na uhuru wa watu kujieleza. So people are coming out
Pili kumekuwepo na movement nyingi za kutetea LGBT
Tatu, vipindi culture inakalibia kufuse. Kwa hiyo watu wamekuwa wakiiga mambo
Nne, Kumekuwepo na kulegea kwa malezi katika familia nyingi
 
Usimquote mtoa mada ukaniquote mimi nyie straight pipo ni wakorofi sana lol, haya jibu umepewa nakazia kwenye point ya kwanza na ya pili.
Wala sisi sio wakorofi.

1. Meleta mada kasema inachangiwa na malezi mabovu ni kweli?

2. Je inakuaje mnaiga iga hasa kwenye hizo movement za wasagaji? Hamuoni ni kinyume cha maadili?
 
Sijawahi "somasoma vitabu shuleni". Very sorry...

Ila mtaani nimelisikia.
Hii kebehi yako nimeichukua. Ila hili somo lipo darasa la sita. Kuvunja ungo ni neno lililozoeleka kwenye jamii yetu ila kwenye vitabu vya sayansi halipo labda kama limewekwa sasa hivi. Ni balehe kwa kijana wa kiume na balehe kwa kijana wa kike period!
 
Papa mobimba nimekuelewa, inaonyesha jinsi gani unaitendea haki taaluma yako! leo hutaki ujinga ujinga! nice!
 
Kwaiyo una pinga maandiko!!?
kila Mtu ana mapungufu yake!
Me Mzee wangu aliwahi kuniambia usigombane na Mwana mke wakati mwingine anaweza kukujibu vibaya sababu yupo kwenye siku zake!!
Sijuwi zaidi juu ya hili Mzee naye aliniongopea au!?
Sio napinga nayo yaliandikwa kulingana na jamii ya wakati huo so lazima waliweka hayo mambo.
Ni kweli tukiwa kwa siku zote huwa Kuna mabadiliko ya hormone, Kuwa na hasira sometimes kutokujisikia kufanya mambo flani flani. So mzee was right kwa hapo. Kwanini umuchokoze mtu akiwa kwenye mood hzo ndo mana mnaambiwa muishi nasi kwa akili ndo mambo ka haya ya kusoma saikolojia ya mtu. Hata nyie wanaume mna siku zenu mbona
 
Back
Top Bottom