Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
- Thread starter
- #381
Balehe is adolescence au puberty ..mwanamke ana baleheNa wewe unakubaliana kwamba mwanamke huwa habalehe?
Balehe is adolescence au puberty ..mwanamke ana baleheNa wewe unakubaliana kwamba mwanamke huwa habalehe?
Curiosity killed the cat
Usijichoshe bure na hao watu, hawajui duniani hamna jipya jamaniCopy hayo maswali yako kama yalivyo kisha njoo upaste kwenye uzi huu,
Utamaduni wa Kusagana kwa Wanawake: Namna ulivyopenyezwa/Kuenea Afrika na sababu kadhaa za kuenea kwake Tanzania - JamiiForums
Uzi wa watu usiuharibu bure.
Siku za wanaumeSio napinga nayo yaliandikwa kulingana na jamii ya wakati huo so lazima waliweka hayo mambo.
Ni kweli tukiwa kwa siku zote huwa Kuna mabadiliko ya hormone, Kuwa na hasira sometimes kutokujisikia kufanya mambo flani flani. So mzee was right kwa hapo. Kwanini umuchokoze mtu akiwa kwenye mood hzo ndo mana mnaambiwa muishi nasi kwa akili ndo mambo ka haya ya kusoma saikolojia ya mtu. Hata nyie wanaume mna siku zenu mbona
Huyo nayeye anajiita 'great thinker'Hii kebehi yako nimeichukua. Ila hili somo lipo darasa la sita. Kuvunja ungo ni neno lililozoeleka kwenye jamii yetu ila kwenye vitabu vya sayansi halipo labda kama limewekwa sasa hivi. Ni balehe kwa kijana wa kiume na balehe kwa kijana wa kike period!
Fanya 6 hiviNgapi
Asante sana nilikuwa nakuandalia kichambo kama ungeleta habari kama za yule.. Endelea kujibu maswali bossBalehe is adolescence au puberty ..mwanamke ana balehe
Umeona eeh, ngoja niwafungie vioo tena vya tinted kabisa.... lolUsijichoshe bure na hao watu, hawajui duniani hamna jipya jamani
UsijaliFanya 6 hivi
Na ndio ulikuwa msingi wa jibu langu. Kama angeniliuza mwanaume bora yukoje, ningempa jibu hilo hilo
Ngoja tupeane maarifa. Mpaka waseme wote. Tena wakati huu niko likizo ya December. Kuna mtu ana niuliza hapa leo nimekuwa mod wa JFPapa mobimba nimekuelewa, inaonyesha jinsi gani unaitendea haki taaluma yako! leo hutaki ujinga ujinga! nice!
Umeona eeh, ngoja niwafungie vioo tena vya tinted kabisa.... lol
Naona umenena vemaWanawake imara sana katika kulea na kujeng familia. Lakini pia wana mapungufu mengine ambaayo ni mara chache kutokea kwa mwanaume.Mapungufu hayo ni kama
1. Kukosa usiri. Wanawake wengi sio watu wa kutunza siri. Wanaweza kutoa siri za familia kwa mtu ambaye hana msaada sana. Mfano ni rahsi mwanamke kumuelezea shoshti wake kama mmewe ana upungufu wa nguvu.
2.Kutumia hisia zaidi kuliko akili. Maamuzi ya wanawake wengi yanafuata hisia zaidi kuliko akili.
3.Wivu.
4.Matarijio ya uongo. ni rahsi sana wanawake kuamini wanayo ambiwa , kuona kwenye tv. kama umewahi kusikai mapenzi ya kwenye tamthilia yalianzia kwa wanawake. WENGI HAWAISHI KATIKA UHALISIA
Haha asante my dia naona na huku wapo na weweHuyo nayeye anajiita 'great thinker'
Nimependa uliposema 'kebehi yako nimeichukua' only matured people wataelewa hiyo, clap clap.
Women are not weak, they are strong. Ndio maana wanavumila maumivu ya uchunguLakini why ku insist sana udhaifu
Mmeanza sasa 🤣🤣🤣Huyo nayeye anajiita 'great thinker'
Nimependa uliposema 'kebehi yako nimeichukua' only matured people wataelewa hiyo, clap clap.
Kichambo tena.... natoa facts hapaAsante sana nilikuwa nakuandalia kichambo kama ungeleta habari kama za yule.. Endelea kujibu maswali boss
Hahaha u curious of what.I'm curious my dear
Acha tu mama, bado huko chemba wanajiapiza kwa gharama yoyote naishia tu kucheka maana sio kwa chuki hii.Haha asante my dia naona na huku wapo na wewe