Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Kwanini mwanamke mjamzito
ni mtamu sana,halafu kwann
Mwanamke akishika mimba
Anapenda sex?
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanafika kwa mara ya kwanza kileleni wakati wa ujauzito. Chochote kinachotokea wakati wa ujauzito kinasababishwa na mabadiliko ya homoni yanayotokea wakati wa ujauzito
 
kuna siku nime lala kama mida ya saa saba nahisi kunyenge umedinda nafungua macho nakuta mtu kaushika kama handbreak huku machozi yanamtoka hadi leo sielewi alikuwa na maana gani. aligoma katakata kunieleza sababu za kulia na kushika mkunyenge,naomba maoni yako mtaalam
Labda alikuwa popobawa
 
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.

Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.

Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
Wewe ni ke au me?
 
Back
Top Bottom