Nitumie lugha gani unielewe?mbona wewe umesema uko tilapia mwanza wakati uko dsm?
Liboloo ndo team yangu
Ndio bibi alivyoniambia niwe nafanya hivyo ili niokote hela. Kwa mila zetu ukigeuza hiyo nguo unapata hela
najua unawaza thinkers lakini hii ni home of great sinkers
Unasema hivi; kila mwanume hata aliyeoa anasema yuko single, wadada wa JF wote hata walio na age 30's ukiwauliza watakuambia ni 20's (rudia huu ubeti)
Wanawake ni dada na mama zetu, si vibaya kuwa na hormone za kike chipolo
pongedhi dhako naona umechafua hali ya hewa............duh
Nitumie lugha gani unielewe?mbona wewe umesema uko tilapia mwanza wakati uko dsm?
Nitumie lugha gani unielewe?mbona wewe umesema uko tilapia mwanza wakati uko dsm?
Yaani una ufukunyuku...mbaya zaidi unakosea na kujiaibisha...
pongedhi dhako naona umechafua hali ya hewa............duh
hahaha. Miss u Kijino