Nmetokea DRC nmeish kma mkimbizi tz
Nilibahat kuingia marekani kwa mpango wa serekal ya marekani kuwachukua baadhi ya wakimbz nchini Tanzania.
mchakato huo na Maelezo ya kuomba hifadhi marekani ufanyka kwa Siri kwaiyo si vyema kuzianika hapa.
Swala la kumsaidia mwingine anawezaje kuingia marekani ni kinyume na Sheria
So,inategemea kila mtu na maombi yake maana c vyema kufanya ujanja kuingia USA
Labda Kama vile mm nnaweza kumuitaji mtu na nkaanza kumfanyia mchakato nikiwa huku.kwa njia hiyo bora na nzuri ila inaitaj uvumlvu na Kuna njia ya kutumia pesa ila hakikisha vtambulisho vya kuingia nchini marekani anavyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app