Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Naona hapo elimu ya lugha tatzo....
Na ndo shda ya kukaaa tz mpk

big up magufuli uliposema "I know i know" !!!!! Alafu unajfanya unajua kingereza!!!!!!!!!

Dada yng.kla NCHI Ina lugha yke
ukifka marekan utaskia kingereza tofauti kabsa na unachokisikia kenya,Nigeria japokuwa wote wanazugumza kingereza.hapo upo!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Laissez- les, je vous ai dit ca les tanzaniens parlent bcp ,,nauliza tena boss:ni jimbo gani marekani raisi kuishi ukianzia kwa malipo ya kazi,,garama za cakula,malazi,,,n.k ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu..wazungu sio watu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nliambiwa hayo yote kabla ya we ndg.hayo huwa maneno tu,nafanya nnachokitaka mrad tu nsivunj Sheria...hta nktaka kurud Africa Leo inawezekana nko huru kwa kla ktu

Tz ukivaa tu cheni ya bendera ya Kongo unaaza kuulizwa ww mkongo?

mh wabongo shikamo

Marekan Hata bendera ya NCHI yko uvae sio tatzo...hta ujivunie uraia wako hakuna wa kukuhulza et wewe n Nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Kaz yang kwa ck n Sawa na mshahara wako kwa mwz,Maisha yng na yko hatulngan

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maisha hatulingani wewe umepelekwa USA Mimi nipo Sweden kwa pesa na viza yangu mwenyewe,utanilinganisha VP sasa na wewe upo chini ya shirika la ukimbizi!!kila kitu unapewa bure kama Demu,unajua gharama za tiketi ya ndege!?unajua watu wanapata vipi viza!?bora ukae kimya tu,hujui chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hao wa bongo kazi yao majungu tuu,,Naitaji kuuliza je ikiwa umepata chance ya kwenda marekani kwa njia ya Halali ukiwa peke yako ila huku nyuma una familia (mke na mtoto) so inacukua mdaa wa kiasi gani wewe kuweza kuwafanyiaa mpango na wawo waweze kukukuta USA na garama zake zikoje??mana kuna ishu niko nafatikia Mungu akipenda ikiwa sawa nadondoka kwa Trump

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la kuhama na familia ndo nalisubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya hewa Marekani ipoje? Je ni baridi
.
Je ni virahisi kupata demu huko?(Ebu eleezea kwa undani kidogo kuhusu swala la mapenzi Marekani)?

Je nikweli wa Afrika wanaopata scholarship Marekani wanalazimishwa kufanya vitendo vya kishoga?

Vipi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi?
Vipi kuhusu Maisha ya Marekani ni upweke au yakuchanganyikana na watu?


Mambo Gani Mazuri mengi wanayofanya wa Marekani kutushinda sisi Waafrica (wanaandaje vijana wao kupambana na Maisha zaidi ya kuwapa elimu?

Ww kama Mwafrika utawasaidiaje ss wa Afrika kufika Marekani (Ebu tupe Maelezo kidogo kuhusu Homeless people Marekani na nini kichangia watu wengi kuwa homeless)

Naomba kufahamu mashirika yanayowasaidia watu kwenda Marekani ,Hapa Africa?

Tabia ya watu wa Marekani iko taufuti kivipi na watu wa Africa?

No changamoto zipi umepitia tangia uanze kuishi Marekani ?

Muda Mwingi wewe ukiwa Marekani unaambatana nakinani au upo kivyako vyako tu ?

Kitu Gani unakiona kwa watanzania kipo tofauti na nchi zingine?

Lete Habari Boss





.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maisha hatulingani wewe umepelekwa USA Mimi nipo Sweden kwa pesa na viza yangu mwenyewe,utanilinganisha VP sasa na wewe upo chini ya shirika la ukimbizi!!kila kitu unapewa bure kama Demu,unajua gharama za tiketi ya ndege!?unajua watu wanapata vipi viza!?bora ukae kimya tu,hujui chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Sweden nayo ni NCHI ya kulingansha na marekani..wananchi walioridhka..pole Sana Sweden hamna hela ndg Tena kwa ww MGEN utapata tabu sana...kuja marekani sio bure.na marekani hamna uduma za mkimbz.ukitaka uyajua hayo Anza Leo kuulza wngn maana hta nkkuambia hutoniamn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena hakuna Mcongo duniani popote anayefikiria kuhusu future
Sweden nayo ni NCHI ya kulingansha na marekani..wananchi walioridhka..pole Sana Sweden hamna hela ndg Tena kwa ww MGEN utapata tabu sana...kuja marekani sio bure.na marekani hamna uduma za mkimbz.ukitaka uyajua hayo Anza Leo kuulza wngn maana hta nkkuambia hutoniamn

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya hewa Marekani ipoje? Je ni baridi
.
Je ni virahisi kupata demu huko?(Ebu eleezea kwa undani kidogo kuhusu swala la mapenzi Marekani)?

Je nikweli wa Afrika wanaopata scholarship Marekani wanalazimishwa kufanya vitendo vya kishoga?

Vipi kuhusu swala la ubaguzi wa rangi?
Vipi kuhusu Maisha ya Marekani ni upweke au yakuchanganyikana na watu?


Mambo Gani Mazuri mengi wanayofanya wa Marekani kutushinda sisi Waafrica (wanaandaje vijana wao kupambana na Maisha zaidi ya kuwapa elimu?

Ww kama Mwafrika utawasaidiaje ss wa Afrika kufika Marekani (Ebu tupe Maelezo kidogo kuhusu Homeless people Marekani na nini kichangia watu wengi kuwa homeless)

Naomba kufahamu mashirika yanayowasaidia watu kwenda Marekani ,Hapa Africa?

Tabia ya watu wa Marekani iko taufuti kivipi na watu wa Africa?

No changamoto zipi umepitia tangia uanze kuishi Marekani ?

Muda Mwingi wewe ukiwa Marekani unaambatana nakinani au upo kivyako vyako tu ?

Kitu Gani unakiona kwa watanzania kipo tofauti na nchi zingine?

Lete Habari Boss





.

Sent using Jamii Forums mobile app
marekani Kuna hawamu nne za msimu wa Hal ya hewa
Kuna kipndi Cha baridi
Kuna kipind Cha jua
Kuna kipind upepo na mvua kidogo na
kipndi Cha balafu
NB.kla kipndi uchukua Miez mi 3

Swala la madada hata na mm nishawahi kusikia hlo kwenye NCHI zngn lakin hapa marekan cjawah kulishuhudia au kuona kwny TV.na kubwa tu kufanya hvyo huwa n Tamaa maana hyo bzns ina hela ndg(nazungumzia wacheza movie)..

tofauti hpo kubwa Kat ya Sisi na wamarekani
Mf.kujituma,kujali muda,kueshimu Sheria na kupenda kujitegemea ktk Manisha yao,alafu wenzetu wanaojua Sana kujifunza na kusoma Sana vtabu na magazeti,wenzetu wanazingatia sana.mzee wa wa kzungu uzeeka na elimu tofauti kabsa na Africa.

Nilivyoingia marekani changamoto yng ilikuwa lugha na mazngira.

Mm marafiki zangu n wa Aina yote mpaka marafiki wasichana wa kzungu
Next

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba ukitusikiliza sana sisi wabongo utaishia kufeli tu, we Fanya yako piga hela, wanaokubabaisha wengi wao wapo kwa shemeji zao wanatumia free WiFi kujifanya wajuaji, sisi tunapenda kushabikia mambo mabaya mabaya endapo utaleta jambo LA maendeleo utapingwa sana
 
Swala la ubaguzi lipo Ila uwa kinyume na Sheria.ila ukiwa mpitaji huwez jua kma lpo.
Lakin uwez jua Kama lpo.kwa upand wng cjawah kubakuliwa,napga story na Aina yote ya watu,

Wamarekani niwachangamfu Sana wanapenda mtu mcheshi sana

Ntumie namba ya whtspp ntakutafuta private talk.naona kuandka Kaz alafu naondoka online saiv.ntakuambia chochote kwa ufasaha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom