Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

Mkuu unavyoshupaa utadhani unajua kitu kumbe hola kabisa!! Who is Tony Madola?!! Sisi tunamfahamu Tony Mutola!! Huyo Madola sijui umemtoa wapi! You are less informed aisee!!

Mengine Ni Makiduku Dot Com Humu Haina Haja Kupoteza Energy
 
Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....

Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza

Una mahaba yakutosha sana na MJ
Wako
Ok wewe ulioko high informed tuambia nin kilicho mwua MJ
Usilete tu propaganda bila facts ili na wew ionekane wa kisasa..
 
Kama kweli upo sahihi Michael wangemuuwa tokea miaka ya 80 maana enzi hizo ndo alikuwa kwenye peak..

Michael alikufa kutokana na overdose na daktari alishtumiwa kwa Manslaughter..

Ikumbukwe kila star akifa mnahusanisha na hayo mambo yenu yasiyokuwa na mbele wala nyuma, angekufa mudy wa mbagala msingesema

Ila mastaa kama Michael, elvis presley , John lenon vifo vyao vinatengenezewa habari ili watu wapate pesa...., tujaribuni kushughulisha na akili zetu jamani si kila information uamini tuuu ilimradi umeskia mzungu kasema

Kwa hiyo nani kakuambia aliuwawa kwa kuwa alikuwa kwenye piki .aliuwawa kwa kuwa alikuwa anaenda kinyume na WALIO MPAA huo umarufu na kumfikisha hapo alikokuwa sawa kijana..
 
Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....

Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza

Na kwakweli wew ni mjinga halafu unajifanya mwerevu
Umezoea kulishwa propaganda na cnn..
 
Una mahaba yakutosha sana na MJ
Wako
Ok wewe ulioko high informed tuambia nin kilicho mwua MJ
Usilete tu propaganda bila facts ili na wew ionekane wa kisasa..

kilichomuua ni overdose ya madawa yaliyotajwa labda kama unapenda kurudia kupata majibu yaleyale na kifo chake sababu yake ndo hyo hadi iliyotolewa katika kesi ya Daktari wake Conrad Murray...hizo sababu zako za kwenye documentary uchwara naomba uzifute akilini
 
Nyimbo ya Thanks to allah aliitoa ni kweli, kuhusu kuslim kwake limekuwa suala la kificho sana kiasi kwamba ni ngumu kuthibitisha maana hata utaratibu uliotumika cku ya kumzika ulikuwa wa tofauti, kama kweli Michael alislimu maziko yake yangekuwa tofauti na tuliyoyashuhudia,..

Kiimani Michael Jackson amelelewa dhehebu la mashahidi wa yehova, japokuwa kuna kipindi walimtenga(1988) kutokana na mambo yake kuwa tofauti na dhehebu hilo

[video=youtube_share;dhPpwBYgkOI]http://youtu.be/dhPpwBYgkOI[/video]
 
Na kwakweli wew ni mjinga halafu unajifanya mwerevu
Umezoea kulishwa propaganda na cnn..

nakubali mimi ni mjinga ila nakushauri usipende sana kuamini mambo ya conspiracy....watu wanahusanisha vitu tu na wewe unaamini kama kama bogus...yafaa uache hii
 
Kwa hiyo nani kakuambia aliuwawa kwa kuwa alikuwa kwenye piki .aliuwawa kwa kuwa alikuwa anaenda kinyume na WALIO MPAA huo umarufu na kumfikisha hapo alikokuwa sawa kijana..

usipende kuwa na ubishi wa kipuuzi..

hivi kwa akili zako unadhani umaarufu unaletewa nyumbani kwako kwenye kikombe???

Talent na uwezo wa Michael ndo vilivyompa umaruufu tokea akiwa mdogo mpaka kufikia alipo

wewe unakuja na hoja ushuzi za kijinga eti aliuliwa na waliompa umaarufu!!!!

tunapoelekea tuulizane viwango vya elimu sasa maana naona hoja zako ni za ajabuajabu hata mtoto wa la 5 atakushangaa
 
Mkuu eli nino imesema tukuulize chochote kuhusu michael J. Mimi nimekuuliza wale watoto wake watatu wazungu kabisa ni wa michael halisi? Hujanijibu. Maana michael kwa asili ni mwafrika na kabla ya plastic surgery alikuwa mwafrika maphologically. Sasa watoto nilitegenea wawe 0.5.!!! nijibu tafadhali.

Sikuona swali lako..

Wale watoto sio wa Michael jackson kabisa na Hlo linafahamika hata kwa normal drpiction, Daktari wa Michael nayeye alisema pia, kama unakumbuka mkuu mwaka jana Mtoto wa Kike wa Michael jackson aitwaye Paris Jackson alitaka kujiua baada ya kujua hana undugu na Prince Michael kaka yake..

Kwa kifupi watoto sio wa Michael biologicaly
 
Kiukweli no body anaweza kuthibitisha MJ was a secret group member.though watu wanaweza kuunganisha mambo and come out wth that idea.mfano some people wamehusisha album cover zake na hii kitu,eg(blood on the dance floor 1997-na ishu ya sep 11 2001) pia cover ya album dangerous 1991 na hii ktu ya secret societies

Almost everything tu....hata michael alivyosema this is it ..tyari wamehusanisha na mambo yao ya kijinga, dressing style hadi sauti yake ndogo
 
nakubali mimi ni mjinga ila nakushauri usipende sana kuamini mambo ya conspiracy....watu wanahusanisha vitu tu na wewe unaamini kama kama bogus...yafaa uache hii

Nataka nikuulize tu swali dogo tu ili tupate pa kuanzia na ntakuonyesha ujinga wako uko wapi . Nin CHANZO CHA KIFO CHA MJ.nadhan tunaweza kuanzia hapo.
 
Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....

Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza

Kwa uzoefu wangu wa kuishi nchi za magharibi kwa muda mrefu, ingawa kweli kuna ubaguzi wa hapa na pale lakini kumwambia mtu huko kuwa ni mbaguzi ni tusi kubwa sana.
 
Nataka nikuulize tu swali dogo tu ili tupate pa kuanzia na ntakuonyesha ujinga wako uko wapi . Nin CHANZO CHA KIFO CHA MJ.nadhan tunaweza kuanzia hapo.

unataka upewe majibu mara ngapi asew..rudi nyuma hko utaona majibu
 
Kwa uzoefu wangu wa kuishi nchi za magharibi kwa muda mrefu, ingawa kweli kuna ubaguzi wa hapa na pale lakini kumwambia mtu huko kuwa ni mbaguzi ni tusi kubwa sana.

kama ni ukweli je??? Tony alikuwa mmbaguzi kweli ndo maana alinywea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom