Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

Niulize chochote kuhusu Michael Jackson

kama ni ukweli je??? Tony alikuwa mmbaguzi kweli ndo maana alinywea

Mimi sipo huko na wala sijui hicho kisa cha Tony na Michael, mimi nimeelezea tu kuhusu kumwambia mtu "mbaguzi" kuwa kimagharibi ni tusi kubwa sana, hususan kwa mtu maarufu.
 
Huo ugonjwa wa ngozi uliomfanya awe anafanya 'make up' kwanini hakuusema kipindi akiwa hai? Je, make up ilijumuisha na uchongaji wa pua? Maana pua yake nayo ilibadilika muonekano tofauti na alivyokuwa awali...
Vp kuhusu Cleverland(sijui kama nimepatia), lile eneo alilokuwa anaishi...
 
Sikuona swali lako..

Wale watoto sio wa Michael jackson kabisa na Hlo linafahamika hata kwa normal drpiction, Daktari wa Michael nayeye alisema pia, kama unakumbuka mkuu mwaka jana Mtoto wa Kike wa Michael jackson aitwaye Paris Jackson alitaka kujiua baada ya kujua hana undugu na Prince Michael kaka yake..

Kwa kifupi watoto sio wa Michael biologicaly


Kwaio alikuwa hana mtoto ata mmoja

Second question ::kwanini alipasua pua
 
Mijitu humu badala ya kuelimishina itakaa inabishana.

Tazama jinsi Miafrika tulivyo mapunguani kwa kupoteza muda kwa mambo ya kijinga na yasiyo na manufaa.

Bora tungeanza kubishana kati ya yai na kuku ni lipi lilitangulia tungefunguka kisayansi japo kiduchu kuliko kubishana rangi ya ngozi ya MJ.

Hivi mpo Tanzania? hamuoni jinsi watu wanavyojichubuwa? wengine mpaka dada zenu na kaka zenu wanajichubuwa (aka mkorogo) na kujipachika nywele za maiti ili waonekane wamependeza (ujinga tu) hata majumbani mwenu hamshangai mnashangaa rangi ya ngozi ya MJ!
 
Huo ugonjwa wa ngozi uliomfanya awe anafanya 'make up' kwanini hakuusema kipindi akiwa hai? Je, make up ilijumuisha na uchongaji wa pua? Maana pua yake nayo ilibadilika muonekano tofauti na alivyokuwa awali...
Vp kuhusu Cleverland(sijui kama nimepatia), lile eneo alilokuwa anaishi...


huo ugonjwa wake wa vitiligo ulikuwa unafahamika tokea zamani labda kama wewe hukuwahi kuusikia,maana Michael alishasema yeye mwenyewe hadi kwenye interview na oprah mwaka 1993....na kabla ya hapo alishasema pia...

kuhusu ranch yake ya "Neverland" ipo bado na inaendelela kumilikiwa na Estate ya Michael Jackson
 
Napenda kujinasibu kuwa mi ni moja ya mashabiki wake wa kutupwa tokea udogo wangu, kama shabiki wake nimekuja kujua kuna mambo mengi watu hawafahamu kuanzia ilikuwaje akawa anabadilika rangi kiasi kufikia mweupe kabisa, mafanikio, controversy kwenye maisha yake , scandal mbali mbali pamoja na legacy yake..

Baadhi ya rekodi zake ni...

1. Mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi katika historia ya muziki wa biashara(Guiness book of Records)

2. Mwanamuziki maruufu zaidi

3. albamu iliyouza zaidi " Thriller"

4. Mwanamuziki mwenye tuzo nyingi zaidi zinazoheshimika

5 Mwanamuziki Tajiri zaidi ambaye amefariki

Niongeze tu hapo kuwa Video ya Thriller ndio yenye gharama kubwa mpaka sasa haijawahi vunjwa record yake.
 
Swali la mwisho, unadhani Diamond Platnumz ana vi-element vya MJ? Samahani lakini

kumbuka unapomzungumzia Michael Jackson unamuongelea Msanii mwenye mafanikio zaidi kwenye historia ya muziki(Guiness book of records)

asa nikianza kuangalia hizo elements za Mj kwa Diamond moja kwa moja nakosa majibu ila naamini hata yeye pia Diamond amekuwa influenced na Mj kwa njia moja au nyingine
 
Niongeze tu hapo kuwa Video ya Thriller ndio yenye gharama kubwa mpaka sasa haijawahi vunjwa record yake.

nope.. Video inayoongoza kwa gharama ni ya Michael jackson lakini sio Thriller..

Video hiyo inaitwa "scream " ni ya Mj Ft Janet Jackson ilitumia kama Dola milioni 7
 
Kwaio alikuwa hana mtoto ata mmoja

Second question ::kwanini alipasua pua

Pua alibadili kweli ...sababu zinazotolewa ni kutokana na muonekano wa pua yake akiwa mdogo iliyofanya ataniwe sana hata Baba yake Joe Jackson alikuwa akimuita Mj " Big Nose"
 
Sikuona swali lako..

Wale watoto sio wa Michael jackson kabisa na Hlo linafahamika hata kwa normal drpiction, Daktari wa Michael nayeye alisema pia, kama unakumbuka mkuu mwaka jana Mtoto wa Kike wa Michael jackson aitwaye Paris Jackson alitaka kujiua baada ya kujua hana undugu na Prince Michael kaka yake..

Kwa kifupi watoto sio wa Michael biologicaly

Aisee mkuu. Ila kisheria ni wa kwake maana huyo mtoa mbegu ni lazima alilipwa fweza nyingi. Hope mama zao hawajui mtoa mbegu maana mwisho wa siku watoto wataunganishwa na baba zao halisi. Sasa mkuu ni kwa nini hakuzaa wa kwake au alikuwa na shida biologically? So sad.
 
Kumbe ndiyo maana alikuwa anawavalisha kwa ku cover nyuso zao i.e baibui style. Sorry spelling sijui ni baibui au buibui.
 
Aisee mkuu. Ila kisheria ni wa kwake maana huyo mtoa mbegu ni lazima alilipwa fweza nyingi. Hope mama zao hawajui mtoa mbegu maana mwisho wa siku watoto wataunganishwa na baba zao halisi. Sasa mkuu ni kwa nini hakuzaa wa kwake au alikuwa na shida biologically? So sad.

It seems like alikuwa ana biological problems...na moja ya sababu zilizomfanya aachane na mke wake wa kwanza ni kwa sababu Michael alipenda sana kuwa na watoto lakni bt lisa hakuwa tayari ..asa kuwa na watoto kwa njia gani hlo ndo swali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom