kombomshana
Member
- Sep 2, 2013
- 88
- 14
Ni kweli Michael Jackson alisilim na kua Muslim Kabla ya kifo chake? na Ni kwel alitoa nyimbo yake alioiita "Thanks to Allah"
Kama ukiangali vzr hiyo video utangudua ya kwamba kulikuwa na alama za makundi ya secret group, ambazo katika video yake anaonekana anazivuja zile alama za kishetan!!,
Napenda kujinasibu kuwa mi ni moja ya mashabiki wake wa kutupwa tokea udogo wangu, kama shabiki wake nimekuja kujua kuna mambo mengi watu hawafahamu kuanzia ilikuwaje akawa anabadilika rangi kiasi kufikia mweupe kabisa, mafanikio, controversy kwenye maisha yake na scandal mbali mbali ..
Nakaribisha swali lolote kuhusiana na Michael Joseph Jackson.......
Ndo maana nakwambia hizo ni theories tu watu wanawza hata kukuhusanisha wewe hapo labda kwa namna navyotembea au kufanya lolote na kitu fulani
Ni kweli Michael Jackson alisilim na kua Muslim Kabla ya kifo chake? na Ni kwel alitoa nyimbo yake alioiita "Thanks to Allah"
Hzo zote conspiracy theories ila hakuna evidance ya moja kwa moja kuwa Michael alikuwa member wa hayo makundi..
Michael alikuwa mwanamuziki mwenye kipaji kikubwa mno tokea akiwa na miaka 6, kipaji chake na management nzuri ndo vimechangia mafanikio yake
je? michal jackson alikuwa kwenye kundi la secret society group,
kati ya skull bones
freemason, illuminate, klu klan klax(kkk).
He was a member of kkk
kumbu kumbu zangu hazikumbuki kuwa huyu Michael Jackson alishawahi kutoa nyimbo kama hiyo...mkuu
kweli 100%
Na hata ishu ya yey kuwa white
Pamoja na kifo chake vyote vilikuwa planned
hizo ni hisia zako, Michael alikuwa anaumwa Vitiligo huo ndo ukweli na kwa taarifa yako zile gloves alizoanza kuzivaa hazikuwa fashion bali ni kwa vile alianza kutokewa na mabaka makubwa kwenye mikono(kama umeshawahi muona mtu mwenye vitiligo)...
maswala ya kuplan na theories nyingine zote kuhusiana na kubadilika kwa ngozi yake ni uwongo mtupu na hisia zisizkuwa na mashiko,