naomba kuuliza kuhusu TCU
kuna mtu mwaka jana alichaguliwa kwenye chuo kimoja lakin kutokana na changamoto mbali mbali alishindwa kwenda kufanya usajili
mwaka alipotaka kuomba tena aliingia kwenye ile akaunti ya kile chuo alichopata mwaka jana then akacancel admission kisha akaomba vyuo vingine lakin bado hajapata kwa awamu mbili zilizopita sasa wasiwasi wake ni kwamba anahis hajachaguliwa sababu labda jina lake bado lipo TCU, Je yuko sahihi hicho anachowaza na kama yuko sahihi ni hatua gani nyingine za ziada anazotakiwa azifanye maana ametuma maombi ya chuo round ya tatu na zimebaki siku chache selection zitoke?
kuna mtu mwaka jana alichaguliwa kwenye chuo kimoja lakin kutokana na changamoto mbali mbali alishindwa kwenda kufanya usajili
mwaka alipotaka kuomba tena aliingia kwenye ile akaunti ya kile chuo alichopata mwaka jana then akacancel admission kisha akaomba vyuo vingine lakin bado hajapata kwa awamu mbili zilizopita sasa wasiwasi wake ni kwamba anahis hajachaguliwa sababu labda jina lake bado lipo TCU, Je yuko sahihi hicho anachowaza na kama yuko sahihi ni hatua gani nyingine za ziada anazotakiwa azifanye maana ametuma maombi ya chuo round ya tatu na zimebaki siku chache selection zitoke?