Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

Habari naomba kujua kama sijaaply chuo hadi sasa kunaweza kuwa na third phase? Nimeshindwa maana AVN yang bado sijapata (nikipata supplementary) so nimeambiwa bado rusubiri
 
Hivi inakuwaje endapo kama vyuo vya private vimekosa wanafunzi wa kutosha ila katika maombi kuna wanafunzi waliopeleza baadhi ya sifa za kujiunga na programu hiyo. Je NACTE/TCU huwa wanalegeza sifa ili vyuo angalau vipate watu?
 
Habari naomba kujua kama sijaaply chuo hadi sasa kunaweza kuwa na third phase? Nimeshindwa maana AVN yang bado sijapata (nikipata supplementary) so nimeambiwa bado rusubiri

Third phase ipo kiongozi
 
s
Sio kwako peke ako...account zote wametoa iko kipengele hapo ni kutulia tu.
Samahani mkuu,wakati naomba mkopo heslb niliambatanisha fomu ya ufadhili wa A-level... lakini leo nmeingia kwenye account yangu nmekuta nimeandikiwa sponsourship form not attached.Na nkijaribu ku attach tena naambiwa correction window closed.Je heslb watatoa tena muda wa kurekebisha?
 
s

Samahani mkuu,wakati naomba mkopo heslb niliambatanisha fomu ya ufadhili wa A-level... lakini leo nmeingia kwenye account yangu nmekuta nimeandikiwa sponsourship form not attached.Na nkijaribu ku attach tena naambiwa correction window closed.Je heslb watatoa tena muda wa kurekebisha?
Trh 21/9
 
Mbna hujaweka link ya SUAT Mwanza mzee.Nawezaje kupata namba za uongozi wa hicho chuo?
 
mdogo wangu kapata koz ya aquaculture sua.hiv atatoboa life ?
 
Msaada wakuu,wakati wa kuomba mkopo niliambatanisha fomu ya ufadhili wa A-level.Lakini leo nimeingia kwenye account yangu nmekuta notification kuwa Not Attached na nikajaribu kuclick to correct naambiwa correction window closed.Je,heslb watafungua dirisha labda nijaribu ku attach tena?

verification result
PARAMETERATTACHMENT-VERIFIEDVERIFICATIONCOMMENTSACTION REQUIRED
A-Level or Diploma Sponsorship DocumentA-Level or Diploma Sponsorship DocumentINVALIDNot AttachedCLICK TO CORRECT
 
Msaada wakuu,wakati wa kuomba mkopo niliambatanisha fomu ya ufadhili wa A-level.Lakini leo nimeingia kwenye account yangu nmekuta notification kuwa Not Attached na nikajaribu kuclick to correct naambiwa correction window closed.Je,heslb watafungua dirisha labda nijaribu ku attach tena?

verification result
PARAMETERATTACHMENT-VERIFIEDVERIFICATIONCOMMENTSACTION REQUIRED
A-Level or Diploma Sponsorship DocumentA-Level or Diploma Sponsorship DocumentINVALIDNot AttachedCLICK TO CORRECT
Kuna jamaa yupo huko alisema watafungua 21/9
 
Back
Top Bottom