Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

Samahani naomba kujua,nawezaje kuona gharama za masomo ngazi ya diploma kwa vyuo vilivyo under TCU kwa sababu vilivyo under NACTE kwenye guide book unazikuta gharama za Kila chuo

Nenda ukaGoogle my friend
 
Mwaka 2021 vijana wametakiwa kuthibitisha Chuo walichochaguliwa by 6th September 2021 ambayo ndiyo deadline ya second phase application. Sasa kama kijana alitaka Chuo Fulani na alitaka ajaribu tena 2nd window je asipothibitisha by given deadline hivyo vyuo vya awali alivyopata atafutiwa allocation?
Maana ukishathibitisha ukiomba 2nd round hutapata.
 
Wakati naomba AVN,nimepata hii changamoto, natakiwa kufanyaje wakuu?
Screenshot_20210830-233748.jpg
 
Mkuu mie nimeomba mkopo HESLB lkn chuo cjaapply koz nimebadilisha mawazo ya kwenda chuo mwaka huu ,,,, sasa mkuu hii imekaaje mwakani ctaapply mkopo koz nimeeshaapply mwaka huu au ntaapply tena mkopo mwakani ama hii imekaaje?
Msaada mkuuu
 
Mkuu mie nimeomba mkopo HESLB lkn chuo cjaapply koz nimebadilisha mawazo ya kwenda chuo mwaka huu ,,,, sasa mkuu hii imekaaje mwakani ctaapply mkopo koz nimeeshaapply mwaka huu au ntaapply tena mkopo mwakani ama hii imekaaje?
Msaada mkuuu

Utaaply vizuri tu, huwa wanafuta account zisizo za wanufaika..
 
hivi ni kweli mtu anayewahi kupata chuo first round kwa coz zenye kipaumbele kama afya anakuwa na nafasi kubwa ya kuwahi kupata mkopo?
 
Utaaply vizuri tu, huwa wanafuta account zisizo za wanufaika..
Hivi kama fomu zako ulizoombea mkopo zina kasoro majina yako wapi au utajuaje?...kuna dogo ananisumbua hapa na sina clue.
 
Sorry, account yangu ya mkopo inasumbua kulog in na niaweka kila kitu kwA usahihi,msaada kwa anayejua kuhusu hili
 
Hv mkuu kuna possibility yoyote kupata mkopo kwa watu wa diploma ya afya
 
Hv mkuu kuna possibility yoyote kupata mkopo kwa watu wa diploma ya afya
Hapana, mkopo wa loan board ni kwa ajili wa Wanafunzi wa elimu ya juu (DEGREE) jaribu kutafuta mashirika binafsi labda yanaweza kukusaidia
 
habari wana Jf karibu uulize chochote kuhusu mwaka wa kwanza watarajiwa songea uulize jambo lolote linalohusu bodi ya mkopo , kujiunga chuo chochote. sana sana

SUA.

UDSM

MZUMBE

UDOM

IFM

TIA

CBE

TIA

NIT
Swali. Je kuna second selection ya vyuo upande wa Nacte ? Najua kuna nafasi huwa zinatokea vyuoni baada tarehe ya mwisho kuripoti first selection.
 
Swali. Je kuna second selection ya vyuo upande wa Nacte ? Najua kuna nafasi huwa zinatokea vyuoni baada tarehe ya mwisho kuripoti first selection.
Second selection kwa Nacte zinatokea mara chache sana sio kila mwaka jiandae kwa March intake au apply vyuo vya private Bado wanadahili.
 
habari wana Jf karibu uulize chochote kuhusu mwaka wa kwanza watarajiwa songea uulize jambo lolote linalohusu bodi ya mkopo , kujiunga chuo chochote. sana sana

SUA.

UDSM

MZUMBE

UDOM

IFM

TIA

CBE

TIA

NIT
Nmefanya application nkachaguliwa UDSM na UDOM,nkaconfirm UDSM lakini leo nmeingia kwenye account yangu kile kipengele cha selection result hakipo.Je, kuna tatizo au ni jambo la kawaida tu
 
Second selection kwa Nacte zinatokea mara chache sana sio kila mwaka jiandae kwa March intake au apply vyuo vya private Bado wanadahili.
Hii inahusu afya tu ama ni kozi zote??hapatakuwa na second round kwa kozi zote ama inakuaje mkuu???
 
Nmefanya application nkachaguliwa UDSM na UDOM,nkaconfirm UDSM lakini leo nmeingia kwenye account yangu kile kipengele cha selection result hakipo.Je, kuna tatizo au ni jambo la kawaida tu

Sio kwako peke ako...account zote wametoa iko kipengele hapo ni kutulia tu.
 
Back
Top Bottom