relax hcho unachotaka utapata chuo kikifungulia mana hata ukidownload utasubir mpaka wafungue ndo u submit
nackia kuna fomu ya hospitali inatakwa ijazwe ndo nashnda nayo hyo...maana kwa dsm ntapata usumbufu kuijaza ukilingansha na huku ni lipo,(uwanja wa nyumban)
kuna vipimo vingi sanaaaaa njoo dar tu usihof uone jins vipimo vya laki mbli vinavyokua buku 5
Anaitwa neema
je nikisoma DUCE ninahaki ya kusema nimesoma UDSM ?
Anaitwa neema
sitaki kupima chochote na huku ninajaziwa bure tu.
huna haki kwani chuo chako hujui kinaitwaje
hi,nauliza hostel duce ni zakuwaia au ni ready arranged in nems?ts ms C..
samahani nimechaguliwa duce sec selection kuna kitu nilikua nataka kujua hiv hiki chuo kinamuda gan toka kianzishwe
kuna taarfa nimepata kuwa join instruction za DUCE zimetoka tayar, lakn nimeingia kweny webste yao sijajua ni eneo gan zpo located
nackia kuna fomu ya hospitali inatakwa ijazwe ndo nashnda nayo hyo...maana kwa dsm ntapata usumbufu kuijaza ukilingansha na huku ni lipo,(uwanja wa nyumban)
je nikisoma DUCE ninahaki ya kusema nimesoma UDSM ?