Niulize chochote kuhusu DUCE

Niulize chochote kuhusu DUCE

Kama kuna vijana wako humu wamechaguliwa DUCE karibuni tupeane ABC wapi pa kukanyaga na wapi usikanyage
 
Saiz anachukua PhD
Ebwana Kuna mzee hapo UDSM anaitwa Nselemu nilikutana naye China...niligundua kuwa ni Watanzania baada ya kusikia wakiongea Kiswahili na wenzake Wengine wawili aliokuwa nao...niliwafuata ila Alikuwa na Nyodo sana nikamsalimia katika kuulizana ndipo akanambia kuwa yeye ni Profesa hapo UDSM!!......kama sikosei ilikuwa mid-2014
 
Ebwana Kuna mzee hapo UDSM anaitwa Nselemu nilikutana naye China...niligundua kuwa ni Watanzania baada ya kusikia wakiongea Kiswahili na wenzake Wengine wawili aliokuwa nao...niliwafuata ila Alikuwa na Nyodo sana nikamsalimia katika kuulizana ndipo akanambia kuwa yeye ni Profesa hapo UDSM!!......kama sikosei ilikuwa mid-2014
Ni PhD holder hatara sana huyo mtu watu wa History pale DUCE wanamjua vilivyo
 
Back
Top Bottom