Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 51,963
- 41,439
Pole sana...mkuu mbona wacheka tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana...mkuu mbona wacheka tu?
Hapo duce kuna diploma in education? Na km ipo application yako ikoje?
Hapo duce kuna diploma in education? Na km ipo application yako ikoje?
Aisee naona ulikuwa unatafuta Tiba ya Chango la uzazi, VP umepata suruhu? Nitafute
Shika adabu yako vako kwetu ni matusiEti Vako bado yupo?
Inawezekana ni juhudi binafsi, kwa watu wa arts wengi wanajitahidi hadi zinafika GPA za 4. lakin kwa science nguvu inahitajka kiasiSorry vipi kuhusu possibility ya kupata GPA ya 3.9 and above kwa chuo cha duce ni ngumu kupata au inategemeana na jitihada binafsi
Answer please........
Wacha uvivu dogoVP kuhusu hoster
Mmh Asante mkuuWacha uvivu dogo
Kila kitu kishajadiliwa humu, tulia pitia uzi kimyakimya utaijua DUCE vizuri
Inaonekana mvivu sana wa kusoma, sasa kwa style hii madesa ya DUCE utayaweza kweli?
nimecheka sana! alikuwa anawakalisha kweli wa history mpaka hawana hamuDR.MSELEMO ,DR.MAZIGO
Kwa vyuo vya kibongo, hapo umeteleza.DUCE ni miongoni mwa maeneo ambayo lecturers wake(baadhi yao) wanaendekeza sana mambo ya kuvizia wanachuo.Anatoka salama kama atakumbuka kama ana mchumba. Wala katika hilo mwalimu anaweza asimuaharibu huyo mchumba wako bali wanachuo wenzake.
Case za walimu kuwa na uhusiano na wanachuo kwa DUCE ni chache sana na hata zilizopo ni personal issues ambazo zinaweza zisiwe na impact in academics.
KARIBU
uyu mama ni noma sanaa, nilifanya quiz ofisini kwake lakini haikua rahisi aiseeEti Vako bado yupo?