Niulize chochote kuhusu DUCE

basi naomba unisadie kuwajibu wale mabishoo wa DUCE kwasbb mkifunga chuo huwa wanasumbua sana

Ukishahitimu na kupewa Gamba hakuna mahali DUCE inaandikwa jina ni moja tu UDSM, isipokuwa college inaandikwa kwenye transcript ambayo nayo huwa haitiliwi maanan ukishapata CHETI
 
Wakuu salam.

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimeshatoa first batch kwa undergraduate so nina amini kuna watu wamechaguliwa Dar es Salaam University College of Education (DUCE), mimi ni mwanachuo wa hapa hivyo naweza kukupa some hints kuhusu chuo hiki katika nyanja zote za kitaaluma na kijamii.

KARIBUNI SANA KWA MASWALI NA UFAFANUZI KUHUSU DUCE

vipi kwa ambao hatuna ndugu dar, na hostel haujui unapewa lini, au chuo kina utaratbu gani kwa wale wanaotoka mikoa ya mbali na hawana sehemu ya kufikia?
 
Ukishahitimu na kupewa Gamba hakuna mahali DUCE inaandikwa jina ni moja tu UDSM, isipokuwa college inaandikwa kwenye transcript ambayo nayo huwa haitiliwi maanan ukishapata CHETI

yaaah itakua ni hvyo mana kuna jamaa mwaka wa pili kafungua account yake ya aris kwa kutumia ud website
 
vipi kwa ambao hatuna ndugu dar, na hostel haujui unapewa lini, au chuo kina utaratbu gani kwa wale wanaotoka mikoa ya mbali na hawana sehemu ya kufikia?

Chuo hakina utaratibu wowote wa ku accommodate watu wa aina hiyo so unatakiwa ujiandae kwa hilo
 
naomb kuulza hpo hv wanafunz wa duce wanatumia IRIS ip ya udsm au kuna ya duce. pia naulza kwmb hv duce kuna hostel za ndan au nd hzo tu za mbgl na mabibo
 
naomb kuulza hpo hv wanafunz wa duce wanatumia IRIS ip ya udsm au kuna ya duce. pia naulza kwmb hv duce kuna hostel za ndan au nd hzo tu za mbgl na mabibo

Aris ni moja kwa wanachuo wote wa main campus, duce na muce
 
naomb kuulza hpo hv wanafunz wa duce wanatumia IRIS ip ya udsm au kuna ya duce. pia naulza kwmb hv duce kuna hostel za ndan au nd hzo tu za mbgl na mabibo

Udsm ina college na school mbalimbal hivyo kila school na college utoa matokeo kupitia aris kwa utaratib wake kulingana na almanac ya chuo kizima
 
Kwa wale waliochaguliwa DUCE nimepata taarifa keamba admission letter zimeanza kugawiwa, so kea wale walioko Dar es salaam unaweza fika chuoni kuchukua lakini kama upo out of Dar es salaam sio lazima sana kwa sasa unaweza kuchukua chuo kikifunguliwa
 
team duce2015 tumeunda group la WhatsApp nichech hapa 0765961152 nikuunganishe fastaaaa...
 
Back
Top Bottom