vevenononombo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 1,289
- 421
Hivi we unajielewa kweli? Okey ngoja nkuulize kazi ya Daruso ni nini?...hako ka boom unakokapata unajua historia yake? Au unadhani serikali ilikurupuka tu mambo yakawa hvo, watu walipoteza chuo lakini wakitetea maslahi yako, katafute chanzo cha mgomo wa udsm 2011 ukishakijua ndio utajua majukumu ya kiongozi wako...NADHANI NA WEWE NI MMOJA WA VIONGOZI MLIOTUKIMBIA WAKATI WA MGOMO PALE CHUO, POOR YOU.
Mgomo.wa 2011 ?poor kijana historia inaanzia 2005,2006,2007 hiyo miaka ilikuwa na majembe kweli kweli Wapi burton.gwakisa maskin si shujaa tena sijui kashamaliza? Maana first degree kaisoma miaka 8 teh teh