Stationary kwa maeneo ya DUCE ni cheap kuliko maeneo yote ya DAR ES SALAAM. Imagine photocopy ni Sh. 30 hadi Sh. 40 kwa page moja, printing ni sh. 70 kwa page kwa black and white, coloured ni 300 kwa page. Gharama za namna hii hazipo popote dar.
Kuhusu WI-FI, DUCE ndo college ambamo WIFI hupatikana kila mahali. Vyuo vyote havifikii hali ya DUCE. Mtandao ni wa spidi nzuri, watu wa vyuo jirani kama DIT ndo huja kufurahia mtandando. Ukija utanitafuta hata kwa PM nikupe password za mtandao wa meneo mbalimbali ya chuo. Ubaya ni kuwa wanachuo wa DUCE ni washamba huwa hawatumii net.
naomba niulize hiv kwann watu wengi wanasema wanafunzi wa DUCE NI WASHAMBA wakati wapo mjini