Busharizi
Member
- Sep 21, 2015
- 5
- 0
nauliza hiv mkuu hosteli unapangiwa au unachagua na je ukiwahi unaweza pata hosteli nzuri
Unapangiwa
nauliza hiv mkuu hosteli unapangiwa au unachagua na je ukiwahi unaweza pata hosteli nzuri
Unapangiwa
Kumbe bei za vyakula ni nafuu sana, nitasomea masters yangu hapo. Mi tayar nipo mzgon huku vijijin. Msome mkijiua mshaara wa mwalimu haukidhi mahitaji na mazngra ya kazi ni magumu unafika mahali unaona kama ulipoteza muda wako kusomea ualimu. Nawatakia masomo mema.
ufafanuz mkuu kwa hapo kdogo..kwa hyo ukitaka kuweka bili inakuwa ni chakula kimoja kama wali&maharage au wali&nyama mwezi mzma maana bei ya vyakula ulvyotaja inatofautiana sasa hapo bili utaiwekaje? na siku usipochukua chakula pesa yako ndo inakuwa imekwenda au unaweza kuifidia siku nyingine
uko mwak wa ngp duce?
Kumbe bei za vyakula ni nafuu sana, nitasomea masters yangu hapo. Mi tayar nipo mzgon huku vijijin. Msome mkijiua mshaara wa mwalimu haukidhi mahitaji na mazngra ya kazi ni magumu unafika mahali unaona kama ulipoteza muda wako kusomea ualimu. Nawatakia masomo mema.
kwani baada ya tume dr kawaje! usjifanye unajua yote dr yuko safi tunamjua wanaHI[/]
Mkuu acha ubishi mimi mwenyewe nasoma History usifikiri unaisoma peke yako. Report ya tume ime be presented kwenye last academic committee ilikua chini ya dr mbuna, ndo maana nasema kama hujui ni bora uwe kimya, utekelezaji wa mapendekezo ya tume inaanza this academic year
We muongo! ata ivyo dr anasimamia fact zaid
kama umefeli utamsemea ubaya tu
We muongo! ata ivyo dr anasimamia fact zaid
kama umefeli utamsemea ubaya tu
Mkuu mimi sibishani na wewe kwa sababu hauna fact, acha niwasaidie wenye shida ya kupata taarifa za DUCE mana naona unaleta porojo tu
Mkuu mimi sibishani na wewe kwa sababu hauna fact, acha niwasaidie wenye shida ya kupata taarifa za DUCE mana naona unaleta porojo tu
sasa unawatisha nini kuhusu dr
Umejibu maswali vzr kweli.
Hongera sana
Mkuu mimi sibishani na wewe kwa sababu hauna fact, acha niwasaidie wenye shida ya kupata taarifa za DUCE mana naona unaleta porojo tu
Waambie ukweli tu
Utaratibu wa bill una mpa pesa yako then utakua unakula chakula unachokitaka wewe halaf unakuwa unaandika kwenye daftari so kama siku haukula bill hisomi kwa hiyo wala haina madhara
Ni chuo changu but kipo kushoto xana, unaweza kuja ukaondoka bila hata kujua posta...ushamba mwingi, uongozi wa kupupet kushobokea admn, dean of student ndio majanga anajifanya kuwa na power zaidi ya Mukandara...mliochagua njooni but lazima mjue hayo.
nafikiri umepata?ok, ngoja nifatie then ntakujibu
kwani possible loan ktk hiki chuo ni how much? mbn kama gharama nyng ,mara hostels!Panaitwa KOKOTO
panajitahidi kwa gharama ,hapo bado hujagombana na konda km umepangiwa offcampus hostels ,ni shidah!Bei ya chakula kwa cafe za ndani ni sh 800 wali maharafe, sh 1200 wali/ugali samaki/nyama, 1500 wali/ugali kuku.
kwa cafe za nje ni sh 1000 kwa wali/ugali nyama/dagaa.
CHAI
kwa cafe za ndani chapati, andazi ni @ sh 200, chai ni sh 100, supu ni 1000 kwa 1500.
kwa cafe za nje ni sh 300/250 kwa chapat, andazi na chai ni sh 200.
KARIBU