Niulize chochote kuhusu DUCE

Niulize chochote kuhusu DUCE

kwani possible loan ktk hiki chuo ni how much? mbn kama gharama nyng ,mara hostels!

Possible loan kwa wana art huwa ni nusu yaani laki 5 lalini usishangae pia ukanyimwa hata hizo yani ukapewa boom tu alafu kwa ada ukapewa 0% maana yake mwaka jana kuna watu wamekosa
 
kwanin mkuu watu bize sana nin

Ubize na Coet utasemaje sasa, uoga wa watu na ushamba tu watu wanakomaa utafikiri kaja shule ya boarding, then hakuna events za kuwatoa watu nje ya chuo "mabash" kwa mtakaokuja Duce mtayasikia kwenye bomba tu.
 
Ubize na Coet utasemaje sasa, uoga wa watu na ushamba tu watu wanakomaa utafikiri kaja shule ya boarding, then hakuna events za kuwatoa watu nje ya chuo "mabash" kwa mtakaokuja Duce mtayasikia kwenye bomba tu.

naomba nikuulize mkuu kwa uzoefu wako hapo Duce kuna wanafunzi ambao hawana mkopo kabisa ambao hata secondary walisoma shule za kata
 
naomba nikuulize mkuu kwa uzoefu wako hapo Duce kuna wanafunzi ambao hawana mkopo kabisa ambao hata secondary walisoma shule za kata

Kuanzia mwaka jana idadi ya wanaofaidika na mikopo imepungua sana na miaka inavyoenda nadhani tatizo litaongezeka mara dufu. Me nna mdogo wangu yeye yupo 1st yr anaenda 2nd kasoma kata mwanzo mwisho lakini boom analisikia kwenye bomba, tatizo hili linaendelea kutokana na kuwa na mapupet wa admn pale daruso maana hawajawahi jitokeza hadharani kuwatetea.
 
naomba nikuulize mkuu kwa uzoefu wako hapo Duce kuna wanafunzi ambao hawana mkopo kabisa ambao hata secondary walisoma shule za kata

tukiwaambia ccm haifai mnaona tuna majungu leo walioko vyuoni hawana mikopo afu mnaambiwa matatizo ya mikopo yataisha mnashangilia push up tu taifa la hovyo hili
 
Ni chuo changu but kipo kushoto xana, unaweza kuja ukaondoka bila hata kujua posta...ushamba mwingi, uongozi wa kupupet kushobokea admn, dean of student ndio majanga anajifanya kuwa na power zaidi ya Mukandara...mliochagua njooni but lazima mjue hayo.

hivi DUCE ndo nn? mm najua UDOM na UDSM
 
tukiwaambia ccm haifai mnaona tuna majungu leo walioko vyuoni hawana mikopo afu mnaambiwa matatizo ya mikopo yataisha mnashangilia push up tu taifa la hovyo hili

Ukawa ndio tumaini la wanavyuo ccm sina hata hamu nao
 
mkuu naomba kufahamu uwezekano kwa first year kuishi nje ya hostel, vipi kuhusu gharama za pango per month/semister etc etc
 
mkuu naomba kufahamu uwezekano kwa first year kuishi nje ya hostel, vipi kuhusu gharama za pango per month/semister etc etc

Gharama za pango nje ya Chuo ni za unafuu wa kutosha kutomuumiza mwanafunzi. Kwa mwezi ni kati ya sh. 30000 hadi 50000. Bahati iliyopo ni kuwa maeneo ya Keko, Taifa na vitongoji vyake havina shida ya maji kabisa ukilinganisha na maeneo mengine ya jiji. Ukikosa hostel ndani usiumie, we jipange tu kukaa nje ambapo hakuna tatizo lolote.
 
Ni kweli kuwa watu wa DUCE wana hofu sana shule, muda mwingi hupenda kukaa vimbwetani hata kama hawana shughuli ya muhimu. Hasara wanayaoipata kwa kufanya hivyo ni kutopata uzoefu wa maisha ya jiji. Kwa wanaokaa hostel za ndani ndo hupata athari zaidi maana wao huishi kama vile ni form 7. Wamalizapo chuo hawana plan yoyote zaidi ya kurudi nyumbani kusubiria baraka za Mola ziwape mema. Pili watu wa DUCE ni wasomaji sana wa madaftari ya notes, hawana muda wa kutumia mtandao wala PC, nadhani ndo chuo ambacho kinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wasiojua kutumia kompyuta. Kwa mwaka mnaoanza kuna mazuri yaliyopo DUCE kama vile uungwana katika mavazi, uzingatiaji wa dini na uaminifu katika mahusiano, hizo ndo tunu za DUCE mzifuate mnufaike. Masomo zingatia sana hakikisha unapambana GPA yako iwe juu ya 3.5. Tembea mjini ujue k/koo, posta, mwenge, kurasini, k/ndoni. Husiana na marafiki nje ya wanafunzi ili uwe na picha nzuri ya maisha. KARIBUNI DUCE, KISIWA CHA USTAARABU.
 
Gharama za pango nje ya Chuo ni za unafuu wa kutosha kutomuumiza mwanafunzi. Kwa mwezi ni kati ya sh. 30000 hadi 50000. Bahati iliyopo ni kuwa maeneo ya Keko, Taifa na vitongoji vyake havina shida ya maji kabisa ukilinganisha na maeneo mengine ya jiji. Ukikosa hostel ndani usiumie, we jipange tu kukaa nje ambapo hakuna tatizo lolote.

Naomb tofauti ya vyumba vya 30,000 na 50,000...vinatofautiana kwa vitu gani muhimu..pili zp ni hostel bora kuishi za ndani ya chuo au za nje ya chuo?
 
Ni kweli kuwa watu wa DUCE wana hofu sana shule, muda mwingi hupenda kukaa vimbwetani hata kama hawana shughuli ya muhimu. Hasara wanayaoipata kwa kufanya hivyo ni kutopata uzoefu wa maisha ya jiji. Kwa wanaokaa hostel za ndani ndo hupata athari zaidi maana wao huishi kama vile ni form 7. Wamalizapo chuo hawana plan yoyote zaidi ya kurudi nyumbani kusubiria baraka za Mola ziwape mema. Pili watu wa DUCE ni wasomaji sana wa madaftari ya notes, hawana muda wa kutumia mtandao wala PC, nadhani ndo chuo ambacho kinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wasiojua kutumia kompyuta. Kwa mwaka mnaoanza kuna mazuri yaliyopo DUCE kama vile uungwana katika mavazi, uzingatiaji wa dini na uaminifu katika mahusiano, hizo ndo tunu za DUCE mzifuate mnufaike. Masomo zingatia sana hakikisha unapambana GPA yako iwe juu ya 3.5. Tembea mjini ujue k/koo, posta, mwenge, kurasini, k/ndoni. Husiana na marafiki nje ya wanafunzi ili uwe na picha nzuri ya maisha. KARIBUNI DUCE, KISIWA CHA USTAARABU.

Gharama za pango nje ya Chuo ni za unafuu wa kutosha kutomuumiza mwanafunzi. Kwa mwezi ni kati ya sh. 30000 hadi 50000. Bahati iliyopo ni kuwa maeneo ya Keko, Taifa na vitongoji vyake havina shida ya maji kabisa ukilinganisha na maeneo mengine ya jiji. Ukikosa hostel ndani usiumie, we jipange tu kukaa nje ambapo hakuna tatizo lolote.


shukrani sana mkuu.. vipi kuhusu ratiba ya chuo kwa semister/wiki/siku ikoje? vipi kuhusu internet access ku8na WI-FI hapo?? na huduma za stationary zipo jirani na ni affordable? thanks in advance
 
Mnaotaka hostel za nje ya chuo ni PM ufanyiwe mpango wa hostel nzuri mapema.
 
shukrani sana mkuu.. vipi kuhusu ratiba ya chuo kwa semister/wiki/siku ikoje? vipi kuhusu internet access ku8na WI-FI hapo?? na huduma za stationary zipo jirani na ni affordable? thanks in advance

Stationary kwa maeneo ya DUCE ni cheap kuliko maeneo yote ya DAR ES SALAAM. Imagine photocopy ni Sh. 30 hadi Sh. 40 kwa page moja, printing ni sh. 70 kwa page kwa black and white, coloured ni 300 kwa page. Gharama za namna hii hazipo popote dar.
Kuhusu WI-FI, DUCE ndo college ambamo WIFI hupatikana kila mahali. Vyuo vyote havifikii hali ya DUCE. Mtandao ni wa spidi nzuri, watu wa vyuo jirani kama DIT ndo huja kufurahia mtandando. Ukija utanitafuta hata kwa PM nikupe password za mtandao wa meneo mbalimbali ya chuo. Ubaya ni kuwa wanachuo wa DUCE ni washamba huwa hawatumii net.
 
Nyumba za mtaani hazina quality sana. Ni za kawaida sana tu. Hazina tiles, hazina gypsum ni maeneo ya uswazi. Vijana wanaweza kufungua chumba wakaiba vitu wakati mwingine. Ila ni mara chache.
 
Back
Top Bottom