Nitawezaje kufanya biashara bila mke kujua?

Yaani Sina hamu nae tena.
Unadhani ukifungua biashara kimya kimya bila mkeo utakuwa umepata suluhu ya kudumu?

Hao utakaowaajiri watakuwa na huruma na biashara zako?

Ikitokea (hatuombei) umepata tatizo, iwe kuhamishwa kikazi, kuumwa, kupata ajali au kufariki, hizo biashara unazotaka kuficha zitasaidia watoto zako achilia mbali mkeo!?


Suluhu ni mbili tu mkuu

Kuongea nae umuhimu wa biashara kwa faida yake na familia, kumfunza na kumshirikisha. Akikubali na akaelekea Basi kwa kuanzia majukumu makubwa makubwa uwe unamshirikisha yatoke dukani (hapa wewe jifunze kulia Hali ngumu pesa hifadhi bank ili uone uelekeo)

Ikishindikana Sasa

AENDE KWA AMANI

Mtu mmoja asifanye maisha ya familia nzima yawe magumu
 
Huwezi kufanya biashara ya namna hiyo bila mke kujua. Kuna leo na kesho, Leo upo kesho yako haijulikani. Mkalishe chini umuelekeze hasara ya anachokifanya. Kwamba yeye akipata huduma mbovu dukani huwa anarudi tens duka lile?

Tena mwambie tabia yake ya mdomo sio tu inakimbiza wateja. Hata wewe utakimbia uende kwenye customer care murua.
Tatizo ni wewe. Hujasimama kama baba badala ufanye marekebisho unawaza kufungua biashara kwa siri
Sijui tatizo nn mara nyingi mwanaume ukiwa mstaarabu mwanamke.kichomi hivohivo mwanamke makini anaangukia pabaya kunawanawake humu wameolewa na wanaume wahovyo akisoma uzi huu anaishia kusonya tu ushauli wangu mtu wahivi hafai utafanyaje biashara kwasiri kama unauza bange kwanza watu kama hawa mda wote nikukuibia apeleke kwao angalia kama unaweza kukaa mbali nayy.kwaonyo mrudishe kwao utateseka sana najua yako mengi kati yahaya machache umetwambia pole ndugu
 
Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.

Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.

Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.

Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.

Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.

Mke ni KICHOMI
Huyo sio mke bali ni tarumbeta
 
Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.

Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.

Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.

Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.

Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.

Mke ni KICHOMI
Alikuvutia nini mpaka ukamwoa?

Hamkupitia kipindi cha mpito kuelekea kwenye ndoa?

Pole kamanda
 
Japo hii comment yangu..haitokua na msaada kabisa.. ila Bora tu niseme

MIMI SIJUI kwakweli
 
Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.

Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.

Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.

Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.

Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.

Mke ni KICHOMI

Mwanzoni kabla ya kumuoa alikuaje? Ikiukweli usingepaswa kumuoa huyo Mwanamke

Ndio nakuambia sasa.
 
Naona shida hapa ni huyo mwanamke amekutawala ungekua na sauti unampiga marufuku kukanyaka dukani

Hakuna ambacho ungeshindwa wewe ni mwaname ndie mwenye uamuzi akikataa unampiga biti hata kwenda kukaa kwao kidogo akili imkae sawa nadhani ataanza kuheahimu maneno yako
 
Wakuu nimeanzisha biashara ya Duka rejareja na Saloon ya kiume. Changamoto iliyopo ni kelele za mke wangu. Pindi akijua na ku-access zilipo.

Makelele yake yatapeperusha wateja wote. Maana mwanzoni nilishawahi kumuanzishia biashara ya duka la nguo na mini-super market vyote vikafa baada ya muda mfupi.

Yeye ni mtu wa kutokujali wateja (kufokea) na kuamini tu kwamba Mungu ataleta wateja kwa Maombi. Huko nyumbani naishi nae kwa machale maana yeye ni mtu wa makelele tu.

Sex ya manati, na huwa siinjoy-inabid kuvuta hisia ya mwanamke mwingine - imagination- ili nikojoe fasta nikafanye shughuli nyingine, kiufupi naishi KINAFIKI tu Bora liende. hafikirii kuna savings kwa ajili ya future (yeye ni mtu wa kununua luxurious stuffs tu). Kila ukijitahid ku-save, tujenge yeye hana habari, excuse kibao.

Ooh yeye anadai ndio anategemewa kwao na siwezi kumtenganisha na ndugu zake.

Mke ni KICHOMI
Nilishakwambia msioe ila HAMSIKII.

#YNWA
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom