Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,736
- 6,037
Unadhani ukifungua biashara kimya kimya bila mkeo utakuwa umepata suluhu ya kudumu?Yaani Sina hamu nae tena.
Hao utakaowaajiri watakuwa na huruma na biashara zako?
Ikitokea (hatuombei) umepata tatizo, iwe kuhamishwa kikazi, kuumwa, kupata ajali au kufariki, hizo biashara unazotaka kuficha zitasaidia watoto zako achilia mbali mkeo!?
Suluhu ni mbili tu mkuu
Kuongea nae umuhimu wa biashara kwa faida yake na familia, kumfunza na kumshirikisha. Akikubali na akaelekea Basi kwa kuanzia majukumu makubwa makubwa uwe unamshirikisha yatoke dukani (hapa wewe jifunze kulia Hali ngumu pesa hifadhi bank ili uone uelekeo)
Ikishindikana Sasa
AENDE KWA AMANI
Mtu mmoja asifanye maisha ya familia nzima yawe magumu