Nitawasimulia wajukuu wangu tena kwa madaha ni namna gani nilibahatika kushuhudia vidume hawa wawili wakiikomboa dunia huru dhidi ya radicals

Nitawasimulia wajukuu wangu tena kwa madaha ni namna gani nilibahatika kushuhudia vidume hawa wawili wakiikomboa dunia huru dhidi ya radicals

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484
LONG LIVE THE CRUSADE, LONG LIVE THE ZION

Hawa ndio wanaohakikisha dunia huru isiwe chini ya radicals na extremists.

20260301_011342.jpg

20260301_084446.jpg
 
ELI COHEN najua uko interested sana na siasa za kimataifa na ujasusi kwa ujumla.

Indeed . Ni story za kusisimua na nzur zaid umezishuhudia.
namna hili tukio la kuuliwa kwa jamaa imetumika intellegencia ya hali ya juu . Pamoja na utaalam wa kitechnologia mkubwa sana.
maana Iran sio lelemama.

Interesting things ni kwamba unajiuliza je bomu limewezaje kupenya na lisiweze kuwa intercepted na air defence system za Iran? Had kwenye makaz ya Raisi?. Tena wakiwa wameshapewa alert?.

jasusi ELI COHEN
 
ELI COHEN najua uko interested sana na siasa za kimataifa na ujasusi kwa ujumla.

Indeed . Ni story za kusisimua na nzur zaid umezishuhudia.
namna hili tukio la kuuliwa kwa jamaa imetumika intellegencia ya hali ya juu . Pamoja na utaalam wa kitechnologia mkubwa sana.
maana Iran sio lelemama.

Interesting things ni kwamba unajiuliza je bomu limewezaje kupenya na lisiweze kuwa intercepted na air defence system za Iran? Had kwenye makaz ya Raisi?. Tena wakiwa wameshapewa alert?.

jasusi ELI COHEN
Nitakupa jibu moja simple sana boss😃😃

DOUBLE AGENTS NDIO WAMEFANIKISHA PAKUBWA SANA, na ili mossad afanye surveillance ya top generals na supremes wa iran lazima awe na insiders humo IRGC.

Pia teknolojia imecheza pakubwa, mimi naamini CIA wana surveillanve teknolojia kubwa sana ambayo bado haijawa exposed maana hawa wajinga hata ujifiche vp lazima wakutungue😃😃

CIA wana tabia ya kuwanunua agents kwa kuwapa pesa ndefu lakini pia hifadhi endapo misheni itafanikiwa.

Kwa upande wa mossad ,yani wameshajinyanga ndani ndani humo iran kwa miaka mingi hata hawatambuliki, wnaa hakikisha kutuma agents wanaofanania feautures za kiajemi , nywele nyeusi nyingi, madevu , nyusi nzito😃
 
Ni jana tu nimemaliza kuiangalia season ya tatu ya series ya Tehran...

Kuna namna ile series ina ukweli mwingi kuhusu Israel na Iran.
 
Ni jana tu nimemaliza kuiangalia season ya tatu ya series ya Tehran...

Kuna namna ile series ina ukweli mwingi kuhusu Israel na Iran.
Hakika.

Hatari hadi Wamemuua yule mwanamke kiukweli nadhani ni wairan wamemulia alipokuwa mapumzikoni
 
Back
Top Bottom