Nitawashangaa sana AU wakikubali mapinduzi Zimbabwe!

Nitawashangaa sana AU wakikubali mapinduzi Zimbabwe!

wewe ndio wakuulizwa unapost kwa maslahi ya nani?
udikteta wa Mugabe ni mbele ya jicho la wezi wa magharibi na sio wazimbabwe au waafrika.

Mugabe yuko madarakani kwa njia ya kura zilizofuata demokrasia...hata uchumi wa Zimbavwe ulianza kukua kwa asikimia 0.2 kwa mujibu wa wazungu na hali ya mambo ndani ya Zimbabwe ilianza kutengamaa.
Afrika nzima ilipaswa imuige Mugabe kwa kukataa uchumi kumilikiwa na wazungu na wezi wachache na badala yake umilikiwe na kuwanufaisha wengi walionyanyaswa kwa miaka mingi huko nyuma.

Mugabe alifanya kwa niaba ya Afrika.

nikuulize swali je...Mapinduzi ya kijeshi ni njia muafaka ya kumuondoa Mugabe??

Je jumuiya ya kimataifa inachekelea mapinduzi ya kijeshi Zimbabwe?

Kama jumuiya ya kimataifa inachekelea mapinduzi Zimbabwe basi tusiwasikie wakilalamikia mapinduzi ya kijeshi popote ulimwenguni.
Eti wezi wa magharibi wakati boss wenu amewaandikia barua kuomba wamsamehehe ndege
 
Mimi nawashangaa Wazimbabwe kwa nini imewachukua muda mrefu hivi kumng'oa huyo kibabu!!

Ilifika wakati watu walianza kushindia majani na nyama za panya!!

Huyo kibabu alipaswa kuwa keshaondolewa muda mrefu sana.

Kuondolewa alafu, It is a lame opinion
 
Mapinduzi sometimes yanasaidia kurekebisha mambo, mtu tangu anazaliwa hadi sasa 37yrs anajikuta rais huyo huyo tu na hakuna cha maana wala maendeleo hakuna. Inafikia kipindi unachoka na maisha ya namna hiyo, babu yule na aondoke tu, anataka atawale milele?
Namsifu sana Sultan Qaboos baada ya kuona baba yake anazingua kamuondoa, leo hii iangalie ilipo Oman kimaendeleo.

Then utu uzima sio dawa siku hizi, kasoma sana lakini elimu yake haimsaidii.
 
DOtFfD6WkAYoIzM.jpg
 
Ndugu zangu, ivi mnafikiri Mugabe ni wa kuondolewa kwa njia ya sanduku la kura?.Wizi wa kura amwachie nani?.
 
AU wamewasaidia nini wazimbabwe ktk shida zao. Watambue wasitambue hawaongezi wala kupunguza kitu.
 
Nani anayesema kuwa Mugabe anaifanya Zimbabwe mali ya familia yake kama sio wazungu?
Akili kweli ndg we!sasa kitendo cha kumfanya mke wake arithi mikoba yke huo ni upumbf
Wakwende zaoooo huko

Ova
 
Back
Top Bottom