Thei state organs are intact; independent; rule of law, human rights, and democracy are their pillars of governance. Only that.Huwezi sikia mapinduzi kwa wazungu!
Ghadaffi aliondolewa na kuuawa kinyama kwa maslahi ya wazungu na hatima ya nchi ya libya imekuwa ni mbaya sana na kupelekea vita visivyoisha na ukimbizi wa aina yake duniani.
leo hii tunashuhudia jaribio la kumuondoa Mugabe kwa mapinduzi baada ya mbinu za kidemokrasia kushindwa.
Kwa mujibu wa BBC wazungu wanaamini kuwa Zimbabwe imekuwa mismanaged kwa miaka zaidi ya 37...msimamo huu unahusianishwa na yeye kuwafukuza matajiri wachache kwa manufaa ya umma.
Leo hii wazungu wanatuaminisha kuwa nchi ya Zimbabwe imeharibika kutokana na kuondoa mazingira ya unyonyaji wa wawekezaji wa kizungu.
Siku zote wazungu wamesisitiza kuhusu kubadilisha utawala kwa njia ya demokrasia...kwa nini wachekelee mapinduzi? Kwa nini hawatumii maguvu yao kuzuia mapinduzi?Je mfumo wa mapinduzi ni sehemu ya njia bora za kubadilisha tawala?
Ni wakati AU kuonesha makucha yake na kukataa double standards katika Demokrasia.Au wanapaswa kupinga kwa kauli na matendo yote dhidi ya mapinduzi haya ya kijeshi.
AU wasipoponga au UN wasipopinga mapinduzi basi tusuwasikie tena kupinga mapinduzi sehemu yoyote duniani.
Inasemekana jeshi la Zimbabwe liliwasiliana na China ili kufanya hayo wanayotaka kufanya...kama hili ni kweli basi AU haina budi kumuonya China na ikiwezekana kumkataa kama muwekezaji kwani naye atakuwa amekubaliana na wazungu kuimaliza Afrika.
AU watakuwa na kikao kinachohusu usalama kesho...tusubiri tuone tamko lao.
lets hope so...but so far vyombo vya Magharibi vinatueleza amepibduliwa na jeshi la nchi hiyo limeshindwa kujieleza vizuri.Mugabe hajapinduliwa, atajiuzuru mwenyewe hapo kesho
Kama zipi hizo? Za kuweka vyombo vyote vya utawala na maamuzi mikononi mwa mhimili uliojichimbia zaidi? You can fool a few people all the time but not all people forever.Ziko njia za kidemokrasia za kumpumzisha
Kwenda sokoni na kapu la fedha kununua mboga unataka muujiza gani mwingine?Sijasikia kuwa wananchi walimchoka
Tayari makamu wake kashapewa urais hata baadhi ya vyombo vya habari hapa Africa vimeshatangazalets hope so...but so far vyombo vya Magharibi vinatueleza amepibduliwa na jeshi la nchi hiyo limeshindwa kujieleza vizuri.
Je kwa nini jumuiya ya kimataifa imekaa kimya dhidi ya mapinduzi ya kijeshi???
Dah! Yaani kuna watu mmebarikiwa kumjua mgonjwa wa tumbo hata kwa kumuangalia makalio tu...!CCM hapa lazima mjihami vya kutosha jirani ananyolewa
HahahaaaaaaDah! Yaani kuna watu mmebarikiwa kumjua mgonjwa wa tumbo hata kwa kumuangalia makalio tu...!
Grace Mugabe =Bashite discussNyie ni wazee wa 900 itapendeza
Kwako wewe ni ajabu lakini kwa madaktari hilo ni jambo la kawaida sana.hivi mtu anayeharisha mfululizo huwezi kuona matako yaliyochubuka?Dah! Yaani kuna watu mmebarikiwa kumjua mgonjwa wa tumbo hata kwa kumuangalia makalio tu...!