Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 14,977
- 21,071
Bw eeh, acha kuzungusha maneno.Ziko njia za kidemokrasia za kumpumzisha
Ni mara ngapi katiba ya Zimbabwe imekojolewa, hasa linapokuja suala la uchaguzi?
Kuiba kura na kung'ang'ania madaraka, ndiyo demokrasia?
Wanajeshi waliomsweka Mugabe ndani, wametangazia umma kuwa wao hawana nia ya kuchukua madaraka, bali wana restore katiba na demokrasia.
Inamaana hapo utaitishwa uchaguzi wa kidemokrasia nk nk, kuliko hali ilivyokuwa imefikia kutaka kumpatia mdaraka mke wake wanayelala naye kitanda kimoja.