We jingalao mpotoshaji mkubwa uwa najalibu kufikilia unatumwa Na nani kupotisha ukweli Na kwa masirahi ya nani, tangu Zimbabwe iingie kwenye mfumo Wa vyama vingi Mugabe amekuwa akishinda kwa hila Na wizi Wa kura, wapinzani tumeona wakikamatwa kupigwa na kuumizwa vibaya, wee ulitegemea haya mambo ya namna hii yataendelea mpaka lini? Waafrica tumeaminishwa na viongozi wetu kwamba, kura ndio itakayochagua viongozi wetu lakini matokeo yetu ni ulaghai mkubwa huku viongozi wetu wakikutana addis ababa kuweka mazingira magumu kwa watu wanaochukua mamlaka kwa njia ya mapinduzi kwamba ni waarifu lakini hawasemagi wanaong,ang,ania madaraka na wezi wa kura wataondolewa vipi madarakani, leo tu aona kinachotokea kenya, tumwona katiba mpya haikutosha, kufanya mambo yaende salama, mahakama huru tume huru, bado kenyatta na familia yake na wenzie wanavyowndelea kuhujumu demokrasia, hakuna kiongozi yoyote africa anayezungumzia, habari za kenya, leo ikitokea jeshi likachukua hatamu mtaanza kuwalaumu na kuwawekea vikwazo tunaona yanayotokea congo na burundi, tunaona uganda, tena museveni alishataamka kwamba yeye ni kama quarter pin kwenye baiskeli inaingia kwa nyundo na inatoka kwa nyundo, hivyo basi anayetaka madaraka uganda aende porini akakutane na mwanamme museveni akishinda akaapishwe kampala sasa hapo unaywgemea nini? We jingalao usiwayiw watu utomvu machoni tunajua kinachowndelea kuna mkakati wa kuifanya demokrasia ndio chanzo cha migogoro ya kijamii afrika na wanaoendesha hii kampeni ni wanasiasa wa kiafrica walio madarakani ili waendelee kutawala huku wakilithishana kwa wakw na familia zao, hivyo wajiandae jinamizi LA mapinduzi afrika linafufuka this time around litakuja Na ukombozi Wa kweli Na ndio itakuwa mwisho kwa. Watawala wanaogopa kukua kwa kasi kwa demokrasia, mwisho nataka nichukue nafasi hii kuwaambia watanzania wenzangu tuishike demokrasia tusikubali iende hivi hivi kwani tilishajalibu huko kwingine hakutusaidia Na tuliona kipindi cha nyerere nchii ilivyokuwa aisogei, leo maendeleo kidogo tunapata kwa kuwa tuu mwizi akiwa anaiba ukampigia mayowe ya wizi hawezi kuiba vyote vingine ataacha kwa kuogopa kushikwa, Na ndio kinachotokea hapa kwetu at least hata Barbara wanajenga kwa kuogopa kushindwa so kwa kupemenda hivyo jingalao angalia sana uwe unstoa Na datajapo kwa shingo upande najua ukweli uupendi