Nitatoa zawadi ya 200,000

Wengi wanadhani kwamba mwizi hadi awe ameshikilia kisu ama bunduki na kupora, huyo ndie mwizi.
Humu watoto wengi, na wengi hawajajua changamoto za makosa kama haya
 
Ukimpata kazi ya kumminya kende ili afunguke naiomba, ,, hana adabu ,,bora anagerudisha ht nusu ya pesa, ,pole mkuu
 
ama kweli..
 
huo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
umefikaje huko
calm down kidogo, fikiria tena then andika upya
 
Hahaahaaaaa.....
Asante mkuu, mimi shida yangu kubwa ni kumpata tu.
Nikimpata kwangu yatosha, kwani kiukweli yawezekana pesa amesha tumia
Ukishampata unataka umfanye nini?umwambie nini?
 
hahahha haya mambo bwana nilikosea nkamtumia jamaa mkwanja flan badae nkamcheki anirudushie alicho nijibu nilicheka peke yangu kwa upole alinambia

"bro nna dhiki ya kufa mtu, nkisema ntakurudishia ni uongo nisamehe sana bro."
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] , nimecheka sanaaa
 
rb unayo na kibali cha kumripoti.au unataka kutumia.utekaji.
unajua sheria ya kumtangaza mtu kupitia mtandao bila kibali kuna vifungu vitakufunga
 
rb unayo na kibali cha kumripoti.au unataka kutumia.utekaji.
unajua sheria ya kumtangaza mtu kupitia mtandao bila kibali kuna vifungu vitakufunga
Haya ndio matatizo ya kusoma threads bila kuikamilisha.
Mkuu....
Naona unajaribu kudandia treni kwa mbele
 
Haya ndio matatizo ya kusoma threads bila kuikamilisha.
Mkuu....
Naona unajaribu kudandia treni kwa mbele
nimedandia sawa.tangaza mtu kwenye mitandao bila kibali.uone jela ina kuita hata kama unakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…