Wengi wanadhani kwamba mwizi hadi awe ameshikilia kisu ama bunduki na kupora, huyo ndie mwizi.Kichefuchefu cha kutetea wezi na majambazi kila uchao kinazidi, tunakunywa maji mengi kuzuia kutapika, lakini inashindikana hadi tunatapika sasa.
Hivi nikuulize wewe mwenye dalili zote za kihalifu, hiyo sim card# ya simu yako mnaimiliki watu wangapi?
Mtu asemeje hadi umsapoti kuwa kadhulumiwa Kitapeli cha kiaminifu?
Ndiyo nyie mnaodai hata mwizi akikamatwa hatakiwi kuitwa mwizi, bali ni mtuhumiwa hadi atiwe hatiani na mahakama. Na mahakama inahukumu kosa ama tendo la wizi na haimuiti huyo aliyepatikana na hatia ya wizi kuwa ni mwizi. Itamfunga bila kumuita mwizi, akifika jela haitwi mwizi, bali anaitwa mfungwa.
Sasa mwizi huwa ni nani?
WaTz tumezoea blahblah za kishenzi sana na upotoshaji wa lugha kwa uwazi bila ya soni.
Kwa hiyo kumuita mtu mwenye tabia za ukwapuaji kuwa ni mwizi ni kumharibia brand!
Kweli jf linakada zote
Umefanikiwa kurudisha hela yako...?Hakuna kilicho geuka mkuu, haya mambo hayataki ujuaji na ujanja ujanja.
Sheria ni msumeno
ama kweli..Pole sana mkuu mwenyew hayo yalisha nitokea saana, ila ya maramwisho nilikosea nikamtumia mtu pesa ndefu kidogo. nahisi hata uliotuma wewe haifikii. nikawasiliana nae huku nikimuomba anirudishie pesa yangu, sim akazima na laini akatupa. sikutaka kujisumbua, nikajisogeza Bariadi. hapakupita wiki 2 pesa amerudisha yeye mwenyewe. nimeshangaa tu mtu kanipigia namba ngeni... nikaletewa pesa japo alikua tayari alisha tumia kama Nusu. ila yoote amelipa, pole sana
Asante hebu mtafute kutumia zile darubini zakoDa pole sana kaka, huyu atapatikana haraka sana
Habari njema, Mungu atakutetea mkuuMambo yanaenda vizuri aiseeee
umefikaje hukohuo ni kuchafuana brand!una uhakika gani kama ndio yeye?kosa ni kako au lake?kwa nini umejipa kazi ya polisi na mahakama?kama sio yeye uko tayari kumlipa fidia?achaupuuzi
Ukishampata unataka umfanye nini?umwambie nini?Hahaahaaaaa.....
Asante mkuu, mimi shida yangu kubwa ni kumpata tu.
Nikimpata kwangu yatosha, kwani kiukweli yawezekana pesa amesha tumia
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] , nimecheka sanaaahahahha haya mambo bwana nilikosea nkamtumia jamaa mkwanja flan badae nkamcheki anirudushie alicho nijibu nilicheka peke yangu kwa upole alinambia
"bro nna dhiki ya kufa mtu, nkisema ntakurudishia ni uongo nisamehe sana bro."
rb unayo na kibali cha kumripoti.au unataka kutumia.utekaji.Anatafutwa kwa kosa la wizi kwa njia ya mtandao. Pia namba alio tumia kupokelea pesa haipatikani.
Kwa mujibu wa maelezo kadhaa.... Inasemekana anaishi maeneo ya kimara Dar.
Kama nilivyo toa angalizo kwamba zawadi ya 200,000 itatolewa kwa yeyote atakae toa informations zake na exactly location anayo patikana naomba ani PM.
Nimeambatanisha picha na machache niliyo yapata kuhusu mtu huyu.
Asanteni.View attachment 492396View attachment 492397View attachment 492398
Haya ndio matatizo ya kusoma threads bila kuikamilisha.rb unayo na kibali cha kumripoti.au unataka kutumia.utekaji.
unajua sheria ya kumtangaza mtu kupitia mtandao bila kibali kuna vifungu vitakufunga
nimedandia sawa.tangaza mtu kwenye mitandao bila kibali.uone jela ina kuita hata kama unakosaHaya ndio matatizo ya kusoma threads bila kuikamilisha.
Mkuu....
Naona unajaribu kudandia treni kwa mbele