Nitamwambiaje Mke wangu mimi ni 'Atheist'?

Nitamwambiaje Mke wangu mimi ni 'Atheist'?

Ndugu msomi naomba niku ulize swali moja, kwa mujibu wa maelezo yako ni kwamba ilianza dunia ndio wakaja viumbe si ndio?
dunia ya mwanzoni ilikuwa na joto sana, na hali ya sumu so kulikuwa hakuna viumbe vyevyote

baada ya kuchimba katika madimbwi na volcano chini ya bahari, mabaki ya vijidudu yenye miaka 3.77 billion yalipatikana

kwahiyo, viumbe vya kwanza vya dunia vinawezeka vilianza kuishi baharini miaka 4 billion iliyopita
 
Mimi mwenyewe siamini kabisa mambo ya dini huwa natafuta watu wenye imani kama yangu. Itabidi tuanzishe whatsap group
naunga mkono hoja
tena anzisha na thread ili tujadili haya maswala ili wengine wapate kuelimishwa
 
Kwa nini wafia dini mnakuwa na hasira hivi kwa watu ambao hawaamini Imani zenu? Kama huyo mungu yupo si ataniadhibu Mimi wewe inakuuma Nini?
Kwanin uturetee ujinga wako hapa......KWANINI usibaki na huo uhazist wako mkubavu wewe
 
dunia ya mwanzoni ilikuwa na joto sana, na hali ya sumu so kulikuwa hakuna viumbe vyevyote

baada ya kuchimba katika madimbwi na volcano chini ya bahari, mabaki ya vijidudu yenye miaka 3.77 billion yalipatikana

kwahiyo, viumbe vya kwanza vya dunia vinawezeka vilianza kuishi baharini miaka 4 billion iliyopita
Binadamu alitoka wapi?
 
Mwambie tu kama ulivyo andika hapa nadhani nae msikilize maoni yake
 
Dini ni nini?
Dini ni njia ya maisha uliyochagua,njia yoyote utakayochagua ndio dini yako,ima iwe sahihi au sio sahihi,hiyo njia uliyochagua,kwa hiyo wewe bado uko kwenye dini,inayoitwa atheist(japo kwa wasiofahamu watasema sio dini).
 
Tuachane na kiarabu wengi hatukijui.
What is religion?
Watu wengi wanashindwa kuelewa naana ya neno dini,neno hili asili yake ni kiarabu,likiwa na maana ya "mfumo wa maisha",mfumo wowote utakaofuata,ima uwe sahihi au sio sahihi,ndio dini yako hiyo.
 
Hakuna uislamu bila waislamu.
Tofautisha UISLAMU na WAISLAMU,si kila linalofanywa na anayejiita Muislamu ,ndio Uislamu.Na hapa ndio wengi wanapokosea,huwa wanaangalia wanaojiita waislamu,kuliko kuuwangalia uislamu wenyewe.
 
dunia ya mwanzoni ilikuwa na joto sana, na hali ya sumu so kulikuwa hakuna viumbe vyevyote

baada ya kuchimba katika madimbwi na volcano chini ya bahari, mabaki ya vijidudu yenye miaka 3.77 billion yalipatikana

kwahiyo, viumbe vya kwanza vya dunia vinawezeka vilianza kuishi baharini miaka 4 billion iliyopita
Nani alichimba wakat hakuna viumbe? Acha uongo bana
 
Kwa sababu sehemu kubwa ya jamii bado ni watu wa dini nakushauri mwache tu mkeo akabatize hao watoto vinginevyo utasababisha mgogoro mkubwa sana usio na ulazima na utawaathiri watoto pia.
Nna kesi kama yako mkuu,
Ila naamini mungu yupo lkn siamini dhehebu lolote lile wala kitabu cha dini chochote hapa duniani...

Nna kesi kubwa sana na mke wangu ya kukataa kubatiza watoto, sijui tunaimalizaje naoana wakwe nao wanaleta habari zisizoeleweka.
 
Back
Top Bottom