Nitamwambiaje Mke wangu mimi ni 'Atheist'?

Nitamwambiaje Mke wangu mimi ni 'Atheist'?

Mkuu kwa hiyo ni uongo Zanzibar hawakamatwi wakifungua restaurants kipindi Cha Ramadhani?

Nchi za Saudia, Iran, Misri, Qatar n.k hawakati watu kwa kunywa pombe sababu ni kinyume na Uislam?

Hakuna adhabu ya kifo kwa wanaoacha Uislam?View attachment 1666281
Tofautisha UISLAMU na WAISLAMU,si kila linalofanywa na anayejiita Muislamu ,ndio Uislamu.Na hapa ndio wengi wanapokosea,huwa wanaangalia wanaojiita waislamu,kuliko kuuwangalia uislamu wenyewe.
 
Wakuu habari,

Mimi ni siamini kuhusu masuala ya dini, ila naamini binadamu tunapaswa kuishi kwa upendo kati yetu na tuwapende pia viumbe wengine, naamini hii ndio 'perfect' na 'universal dini'.

Matatizo kama vita, njaa, mauaji, talaka, pengo kati ya matajiri na masikini n.k vyote hivi tungevipunguza kwa kiasi kikubwa kama tungezingatia hii 'universal dini' zaidi kuliko nyingine

Mke wangu ni mtu wa Dini sana, ametokea familia ya walokole.

Amekuwa akinisumbua kuhusu kwenda kanisani kila mara, nimekuwa nikimpa visingizio vya hapa na pale ili nisiende naye kanisani, ila naona visingizio vimeisha.

Sasa nimechoka kelele za kuhusu kanisani, nafikiria nimchane kuwa siamini masuala yake ya kanisani na sitaki usumbufu tena.

Nitakuwa harsh sana au kuna mbadala wa kuyamaliza?
Mulioana kwa mujibu wa imani (dini) gani?
 
Nami naona hivyo, japo sipo upande wowote wa hizi dini kuu bado nina falsafa yangu, naamini katika upendo kwa watu wote na viumbe vyote
Hiyo ndio dini,japo huwenda isiwe sahihi kimfumo,kwasababu hakuna mfumo wa maisha usio na muongozo wa kitabu,cha kuongoza huo mfumo.Kwa mfano mkiwa Atheist wawili,sehemu tofauti,bila muongozo sahihi,mtafanya mambo tofauti,katika mfumo wa maisha.
 
Ujanjaujanja Tu Wewe
Hakuna Lolote
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
 
Huko kuwa na njaa,na kuwa na shibe ndio mfumo wenyewe wa maisha.
Yap huo ni mfumo wa maisha na sio dini

Elements za dini unazijua?

Kwa mujibu wa uislam dini ni moja tu uislam je unakubaliana na hoja hiyo?

Kwa mujibu wa uislam wasio na dini wote ni makafir

Duniani kuna maelfu ya dini na maelfu ya miungu, so kwa mujibu wako dini hizo zote zinatambulika kwenye uislam kwasababu kila mtu anayo dini?
 
Yal huo ni mfumo wa maisha na sio dini

Elements za dini unazijua?

Kwa mujibu wa uislam dini ni moja tu uislam je unakubaliana na hoja hiyo?

Kwa mujibu wa uislam wasio na dini wote ni makafir

Duniani kuna maelfu ya dini na maelfu ya miungu, so kwa mujibu wako dini hizo zote zinatambulika kwenye uislam kwasababu?
uislamu unazitambua dini zingine, ambazo zimejumuishwa na kuitwa "dini za kinasara".. kwa mujibu wa uislamu ni kua " uislamu ni dini ya kweli" na dini ya haki kuliko zote zingine.
 
Wakuu habari,

Mimi ni siamini kuhusu masuala ya dini, ila naamini binadamu tunapaswa kuishi kwa upendo kati yetu na tuwapende pia viumbe wengine, naamini hii ndio 'perfect' na 'universal dini'.

Matatizo kama vita, njaa, mauaji, talaka, pengo kati ya matajiri na masikini n.k vyote hivi tungevipunguza kwa kiasi kikubwa kama tungezingatia hii 'universal dini' zaidi kuliko nyingine

Mke wangu ni mtu wa Dini sana, ametokea familia ya walokole.

Amekuwa akinisumbua kuhusu kwenda kanisani kila mara, nimekuwa nikimpa visingizio vya hapa na pale ili nisiende naye kanisani, ila naona visingizio vimeisha.

Sasa nimechoka kelele za kuhusu kanisani, nafikiria nimchane kuwa siamini masuala yake ya kanisani na sitaki usumbufu tena.

Nitakuwa harsh sana au kuna mbadala wa kuyamaliza?
Atheist gani unafungia ndoa kanisani ungefungia makaburini
 
Nna kesi kama yako mkuu,
Ila naamini mungu yupo lkn siamini dhehebu lolote lile wala kitabu cha dini chochote hapa duniani...

Nna kesi kubwa sana na mke wangu ya kukataa kubatiza watoto, sijui tunaimalizaje naoana wakwe nao wanaleta habari zisizoeleweka.
 
Tembelea channel ya Davistar Mata
Youtube uone mikasa ya watu hasa ya kichawi na jinsi walivyookolewa labda utaamini uwepo wa Mungu na Mungu ana nguvu kiasi gani.

Ukweli ni kwamba Mungu yupo na shetani yupo pia.Sisi wanadamu ndio uwanja wa mapambano baina ya hizi nguvu mbili. Mawazo uliyonayo kuwa hakuna dini(Mungu) si yako bali ni ufahamu wa kipepo ndo umekufunga. Usichukulie poa
 
Back
Top Bottom