Nitamuachaje mmama huyu anae nizidi miaka tisa?

Nitamuachaje mmama huyu anae nizidi miaka tisa?

Sasa kwanini umuache mwanamke kama huyu banaaa!? Mungu akupe nini tena? Dah! Unaweza kuja kumkumbuka sana huyu utakapokuwa unapelekeshwa puta na huyo mpya ukiamua kurudi kwake utakuta njemba nyingine imeshatia nanga.

Usifanye makosa hayo banaaa umri si kikwazo kihivyo cha kukufanya wewe umuache huyu mmetoka naye mbali huyu na amekusaidia sana. Unaweza kupata laana ya Mungu. Usimuache Mkuu.

BAK utoto unamsumbua kijana huyu...anachezea shillingi chooni...muhimu mwanamke ana kizazi 34 bado anaweza amzalie watoto aache mirathi...hata mtume Muhammad (S.A.W) alimuoa bi khadija alomzidi umri sana.Umri sio kikwazo kwa kijana.Kikwazo ni yeye mwenyewe na vizingiti vyote anavieka yeye.
 
namwonea huruma anapelepwetwa...!!!! ukute ndo walewale wajane wa kichaga...lazma na yy akate moto..milioni 10 itiwe kibindoni.

We bana itabidi nikupunge,I wish pangekuwa na kitufe cha dislike nikibofye!!Mpe hongera na moyo mwenzio kapata mwanamke ambae ni aghalabu kupatikana kwa dunia ya sasa!Hawa vijana wenzio kubebana mzigo!!
 
We bana itabidi nikupunge,I wish pangekuwa na kitufe cha dislike nikibofye!!Mpe hongera na moyo mwenzio kapata mwanamke ambae ni aghalabu kupatikana kwa dunia ya sasa!Hawa vijana wenzio kubebana mzigo!!

dah..!!! afu nme sahau kuku salimia.."shikamo" jamaa nahisi ana nyota ya makombo....bahati ipi mama anajua ana soko tena ndo.maana kawa rubaa...!!!!
 
Mkuu kumpenda nampenda lakini umri ndio unasababisha nisimpende,But kiukweli ananisikiliza sana mpaka kumfanyia ujinga ili tuachana najishtukia sana.Maana ananisikiliza kinoma na akikosa ni mwepesi kukili kosa na kuomba msamaha.

Kuumiza hisia za mwanamke ni noma sana,na hilo tatizo la umri ni sababu ya wazazi wako au ni mtazao wako tu mwenyewe?
 
Kama hiyo story sio ya kutunga kama tulivyozoea kwa watu wa aina yako huku kwanza nakuambia yafuatayo:
Wewe inaonyesha unajivuna halafu hujatulia hata hiyo course sidhani kama ni kweli umesoma wewe muongo ni story tuu
Pili hakuna mwanamke utakae mpa laki 4 gafla aje azalishe milioni 11

na bado ana familia ya watoto 2 leo hii unakuja kupost story za kumuacha
Tatu ka ulikuwa humpendi utampaje hela wewe bila shaka upo darasa la saba na story za mapumziko ya saa nne wakati unasubiri uji
Mkuu asante kwa bandiko lako hili,Ila tatizo hujapiga mahesabu vizuri.

Ukiwa na shilingi laki nne unaigawanya mala mbili laki mbili nunua madira 25 kwa bei ya elfu nane nane kaliakoo.Ukipeleka mikoani unayazungussha kwa mkopo wa shilingi elfu kuni na tano kila dira kwa wki mbili.Utakuta kwa madira 25 una faida ya laki na sabini na tano elfu.

Na pia unanunua vitenge kumi na moja kwa kila kitenge elfu kumi nane kaliakoo.Ukipeleka mikoani unauza kila kitenge elfu thelathini kwa mkopo wa mwezi mmoja.Ndani ya mwezi mmoja ukiwa na laki nne unapata faida ya laki tatu.Maana usafiri ni buku tano,Wanasafirisha SALUMU TRANSPORT na pale NEW TANGANYIKA TRANSPORT kwa bei rahisi kabisa nenda kaliakoo waulizie jamaa utawapata.

Unakuwa umekuza mtaji kwa hiyo ndani ya miezi mitatu unakuwa na mtaji wa takribani milioni moja.Pia ukumbuke mimi nilikuwa naishi kwa BUM mpaka leo hii.Tulivyo kuza mtaji ulipofikia milioni mbili tulikuwa na uhakika wa kupata faida ya milioni moja na laki tatu kwa mwezi.

Sasa ni jukumu lako kuitunza hela vizuri nakuachana na mambo yasiyo ya msingi.Na hio milioni kumi na moja ukiwa na matumizi mazuri ndani ya miaka hio miwili kwa biashara hiyo kwa mkoani ni ndogo sana.

Waweza kukubali au kukutaa ila itabaki kuwa ukweli.
 
Mkuu nimekuelewa zaidi ya sana but vipi bi mkubwa atalichukuliaje suala hili,Kwa sababu mama zetu huwa wanamaindi mishe hii ya kuoa mtu anae kuzidi.

Mi naamini ukiwaeleza hali halisi kwa jinsi hizo tabia za huyo mwanawake zilizo sidhani kama watakataa,labda kwenu unachukuliwa bado mdogo hujakomaa kwa mawazo.
 
Kuumiza hisia za mwanamke ni noma sana,na hilo tatizo la umri ni sababu ya wazazi wako au ni mtazao wako tu mwenyewe?
Mkuu nilikuwa nahofu kama atakuwa bado na uwezo wa kupata mtoto,Pia na bi mkubwa atalichukuliaje suala hili.
 
Mkuu KALINZI NYUMBANI usithubutu kamwe kuoa mwanamke mwenye mtoto hata mmoja, mwenzako yaliyonikuta siwezi sahau japokuwa bado sijaoa.
 
Last edited by a moderator:
BAK utoto unamsumbua kijana huyu...anachezea shillingi chooni...muhimu mwanamke ana kizazi 34 bado anaweza amzalie watoto aache mirathi...hata mtume Muhammad (S.A.W) alimuoa bi khadija alomzidi umri sana.Umri sio kikwazo kwa kijana.Kikwazo ni yeye mwenyewe na vizingiti vyote anavieka yeye.
Mkuu nimekuelewa sana tena zaidi ya sana.

Asante sana kwa ushauli wako huu murua kabisa.
 
BAK utoto unamsumbua kijana huyu...anachezea shillingi chooni...muhimu mwanamke ana kizazi 34 bado anaweza amzalie watoto aache mirathi...hata mtume Muhammad (S.A.W) alimuoa bi khadija alomzidi umri sana.Umri sio kikwazo kwa kijana.Kikwazo ni yeye mwenyewe na vizingiti vyote anavieka yeye.

Mkuu muhamad sio mfano mzuri kwa upande wa masuala ya mahusiano, maana kuna sehemu alioa mtoto wa miaka 9 ambaye kwa sasa angekuwa darasa la 2, sina maana kwamba hakuwa na mazuri ya kuigwa bali yapo lakini sio kwa upande wa mambo ya ndoa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu muhamad sio mfano mzuri kwa upande wa masuala ya mahusiano, maana kuna sehemu alioa mtoto wa miaka 9 ambaye kwa sasa angekuwa darasa la 2, sina maana kwamba hakuwa na mazuri ya kuigwa bali yapo lakini sio kwa upande wa mambo ya ndoa.
Msichana yoyote alobalehe anaweza kuolewa ndivyo dini inavyosema!Kama mhusika ni muislam atanielewa sana tu!!Na waislam wanashauriwa waoe wanawake wajane ka hivo unapata thwawabu kubwa sana kwasababu atamstiri huyo mwanamke na hao mayatima....
 
Back
Top Bottom