cyberspace
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 730
- 291
Umenena mwache tu atafute matatizo atajuta, wanompa ushauri wa ajabu sijui kama wanawafahamu wanawakeMpaka sasa simuelewi huyu jamaa kwa kweli mkuu. Huyo ni mwanamke wa maana sana ila halioni hilo sasa mpaka aweke paka asieshiba ndani ya nyumba yake ndio ataelewa. Kuna watu wana stress kila kukicha kisa mwanamke walie nae ni mtumiaji asiefaa, akionyeshwa pesa tu anakuwa mwehu wakati kuzitafuta hajui.