Mkuu tatizo umri mi na miaka 24 dheni yeye ana 34,We huoni gap lililopo?,Asume nimemuoa atazaa hata watoto watatu kwa umri wake?.Wenzio tunatafuta wanawake wenye akili ya kusaka pesa kama hao, wewe ndio unamtupa? Kweli tumetofautiana sana aisee!
Mwanamke mwenye uwezo wa kusimamia majukumu akiwa peke yake bila mashauzi na kujitegemea, kwangu ni asset ya maana kuliko chochote.
Mkuu ajira zenyewe hamna sasa nikimpa yote navyomaliza chuo ntafanya mishe gani mtaani?Mpe hiyo 11 million yake kiume umteme
Mkuu duu haya bana ngoja niendelee kutafakari.Mkuu kama ni bahati weye umebahatika. Ulishaona wale unaoona ni jika lako jinsi wasivyo faa, ukampata huyu, tena wa mtaa wa pili tu. Unamfaham fika, hana makuu, alikuwa kajituliza akila edda yake mpaka ukamstua.
Umeanza biashara na laki 4 chini ya miaka 2 sasa una 11m, jamani, mnataka nini katika maisha ya leo? Nngekuwa sijaoa ningeoa fesha si papuchi. Hizo mbona ziko kila mahali? Ukitaka ya kidhungu au kihind, ila mwanamke mwenye kujua kusakanya tena kwa uaminifu bila kukuibia, mpaka 11m, UTAMPATA WAPI TENA KAMA HUYUuuuuu.
Amua tu mwenyewe, ila mke ni huyu
Mkuu vipi kwani?Course ya Mechanical engineer...basi sawa.
Sawa mkuu nimekuelewa ntajitahidi kufanyia kazi ushauli wako.Gawana naye pasu pasu hiyo pesa, umuache kistaarabu.
No coment.kama vipi . nimuoe mm. sie tunatafuta wanawake we unaleta habar ya umri.
Umri ndio unasababisha nisimpende.Sasa tatizo umri au tatizo haumpendi?
BAK kwanza kabs atuambie huyo mke ni kabila ganiBiashara mmefanya pamoja na kuingiza faida ya milioni 11. Mpe milioni 5 zake kama shukrani yake kwa kuletea faida kisha umwambie ukweli,
"Mimi sina mapenzi kabisa na wewe hivyo siwezi kukuoa nilikuwa nakufanya kipozeo tu tu ili kupunguza genye zangu. Hii hapa ni milioni 5 ambayo ni faida yetu katika biashara tuliyoifanya pamoja." Kisha unasepa zako kimoja.