wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
Sina maana hiyo!!!Mzee Yusuph kastaafu taarabu. Kamatia kijiti chake upige chapaa
Sina maana hiyo!!!Mzee Yusuph kastaafu taarabu. Kamatia kijiti chake upige chapaa
Muraa huchui wakurya wameenderea mpaka kwenye tarabu si unarisikia rire ri asha mashusi?Mzee Yusuph kastaafu taarabu. Kamatia kijiti chake upige chapaa
Tunawatafuta ubaya?Mkuu huo ni utani wa ngumi. Ukisiki vita ni vita muraaa ujue kishanuka tayari
Bhita ni bhita muraaaaMkuu huo ni utani wa ngumi. Ukisiki vita ni vita muraaa ujue kishanuka tayari
huu ujinga wa kumpiga mtu ban bila kuongea naye moderator wanatakiwa waache mara moja, kwa maoni yangu tutafute tume huru yaani wanajukwaa sema 10 huru,sio moderators ambao watahusika na kutoa ban kwa kupiga kura ila ni baada ya mtuhumiwa kutoa utetezi wake, pole sana mremboNami nilipelekwa central ya JF bila kuhojiwa mkuu,bora wale wenzangu walihojiwa.
Mwanzo nilimind niliposoma hii post lakini nilipotulia nimekuelewa hasa hapo nilipobold....
Japo umeweka porojo nyingi ila maisha lazima yaendelee...chuki ni bure.
Period
Wazee wa bandar tutakosa meli
Nimemuambia hivyohivyo akashangaa,jamaa ana kipaji cha utunzi.Mzee Yusuph kastaafu taarabu. Kamatia kijiti chake upige chapaa
Asante sana shemela kakaPole na karibu tena jamvini ni changamoto na figisu figisu za maisha usijali sana dada /shemeji /daima.........
Sijui kwanini tunahukumiwa bila kuhojiwa,halafu slogan ni where we dare to talk openly!huu ujinga wa kumpiga mtu ban bila kuongea naye moderator wanatakiwa waache mara moja, kwa maoni yangu tutafute tume huru yaani wanajukwaa sema 10 huru,sio moderators ambao watahusika na kutoa ban kwa kupiga kura ila ni baada ya mtuhumiwa kutoa utetezi wake, pole sana mrembo
Mbona nimekujibu kawaida tu jamani? Actually umesema jambo lililonifanya nitafakari sana.Dada yangu Nifah hata Mimi Kaka yako leo unanipovukia hivi? Naomba radhi na najuta ' kukutania ' na ' nimekoma '. Ngoja nikae mbali nawe ili ' Mfungwa ' nae akifunguliwa asije nimaliza kabisa!
Shukran nawe piaAsante sana shemela kaka
....mbele nyuma mwiko
Bhita ni bhita muraMkuu huo ni utani wa ngumi. Ukisiki vita ni vita muraaa ujue kishanuka tayari
Acheni roho mbaya hizo za kuwaombea wenzenu mabaya muda wote, ndio maana nchi inabakia maskini, kila MTU roho mbaya ameizidisha.Ale tu bani khaa bado na yule The bold naye apate
anglizo; nimewaza tu haahahahah (in le mutuz sound)