Nitakumis sana Niffah

Asikupotoshe,sijawahi kumtumia picha zangu kabisa.
Sijui watu wengine wakoje!

Wapo wengine huwa wanadanganya wananijua,nikiambiwa wanavyonielezea naishia tu kucheka.
JF hii hatari sana
Mzoea udalali duka haliwezi
Mdomo jumba la maneno
Wacha waseme usiku watalala
Mpe wako muhibu, mapenzi ayahutubu.
 
Dah kweli yawalimwengu kwa walimwengu.... Mbna nifah hana shida kwann ufurahi yeye kuwa banned... Roho kubwa
Siwezi kupendwa na wote mkuu,hata hivyo nadhani jamaa alikuwa anatania.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom