Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,782
- 2,372
- Thread starter
- #61
Usijali mkuu. Hizi ni changamoto ambazo wengi tunapitia. Wakati mwingine unaweza kukosea bila kujua na pia unaweza usieleweke ulichokuwa unamaanisha na haya ndio matokeo yake. The good thing ni kuwa tupo pamoja tena katika ujenzi wa taifa letuMungu wangu,huu ni upendo mkubwa! Sijui nikuambie nini ili kuielezea furaha niliyonayo.
Nashukuru sana mkuu,umeingia ktk kitabu changu cha kumbukumbu.
Ubarikiwe.
Sent from my itel it1501 using JamiiForums mobile app