Haujielewi wewe kichwa panzi sijui umekurupuka toka wapi? umekula maharage ya wapi?Tambua cku zote mwanaume ni king'ang'anizi hakubali kushindwa. Hata awe na madem wengi kiasi gani akiona mmoja wao kaolewa roho itamuuma utadhani alikua na mpango wa kumuoa. Hicho kinachokusumbua ni tamaa za wanaume huna budi kukubali kwamba umeshindwa maisha yaendelee
We acha mkuu watu tumepitia mazito but tunajikaza kiume tu,, alaf pia hawa madem wanapenda kukutana na mwanaume anaejiamini,,, ukijiliza tu baaaasi anakushusha marks,, yule nyau mi nimesha mpa dawa yake saivi nipo na katoto karembo na kananipenda kinoma,,..Hii yakwako nzito mkuu,..
Tokea lini mwanaume akawa na hisia, inawezekana una vielement vya wanawake.Mimi sio mwanaume wa DSM bro, usije nisingizia bure, ni kweli madem ni wengi lakn hisia ndio shida
Niliingia katika mahusiano na wewe mwanamke kipindi kile na graduate, nikakupenda kwa moyo wangu wote, pamoja na kuishi katika mikoa tofauti nikawa mwaminifu kwako sikuwahi kuchepuka hata kidogo, nilijitahidi kwa moyo wangu wote kwa kadiri kulingana na uwezo wangu kudumisha pendo langu, wakati mwingine niliwadanganya wazazi naenda kwenye interview (MUNGU anisamehe) wanaponipatia nauli na fedha ya kujikimu basi nakuja kukutembelea.
Hii ilibaki kuwa siri yangu baada ya miaka mitatu changamoto ya ajira ikaendelea, pasipo kujali upendo wangu kwako ukanipiga chini baada ya kupata wa kukuoa, miezi nane mbeleni ukafunga ndoa. Haukujali ahadi nyingi na nadhiri tulizoziweka mbele za MUNGU na pia mbele za wazazi.
Niliumia saaana siwezi kusahau, Dunia nzima ilinielemea, maisha yakawa machungu kama chloroquine... Lakn siku zikasogea. Ni mwaka wa nne huu Moyo umekufa ganzi, sijawahi kabisa kuwa na hisia za mapenzi teena, Huwa namwomba MUNGU anipe moyo wa kusamehe na kusahau ili moyo uwe na amani niweze kusonga mbele nashindwa kabisaa kusamehe na kusahau...
Nakuchukua sana na kamwe sitakusamehe we mwanamke kwa ulilonitendea
una elimu gani bro?Tokea lini mwanaume akawa na hisia, inawezekana una vielement vya wanawake.
Darasa la saba, kwani bandiko lako linabagua kiwango cha elimu?una elimu gani bro?
Rudi shule asee, eti mwanaume hana hisia!! aliyekufundisha akarudie upyaDarasa la saba, kwani bandiko lako linabagua kiwango cha elimu?
Kumbe ndio maana unafeli? nani kakwambia hisia zinafundishwa? shule yake inapatikani wapi ili na mimi niende?Rudi shule asee, eti mwanaume hana hisia!! aliyekufundisha akarudie upya
we kichwa panzi usinipotezee muda bureKumbe ndio maana unafeli? nani kakwambia hisia zinafundishwa? shule yake inapatikani wapi ili na mimi niende?
Ulipokuwa unauliza kiwango changu cha elimu nilijua nimepata mwalimu kumbe na ww upo kama mimi tu.
Kichwa panzi ni tusi au sifa flani nzuri? merry x - mass and happy new yr 2017.we kichwa panzi usinipotezee muda bure
nimeshangaa sanaNipate alotayari kunioa na nampenda afu eti nikae kusubiri miaka inaenda kisa tumewekeana ahadi
Sijui ila namwomba sana MUNGU anisaidie nisamehe na kusahau, maana sikuwahi kuamini kama tutaachana