Nitakuchukia for the rest of my life

Nitakuchukia for the rest of my life

Kichwa panzi ni sifa fulani hv!! Merry x-mass bro Kakole
Hahahahaha......sifa flani amazing najua ulitaka kumalizia hivyo tu mdogo wangu? anyway pole lakini mdogo wangu, Mungu akujalie wepesi uwezo wa kuyashinda haya unayoyapitia kwa sasa.
 
Mkuu;
Kweli inaonesha ulikwisha kabisa kwake. Dah! Tuseme kwa mda woote wa maisha yako hukuwahi ona mwingine kabla ya huyu?? Pole. Ila,
thankx umeandika kitu kinacho sound vizuri, nimeshare hili jambo hapa nimepata kuona kuwa sio mm pekee ambaye nimeface tatizo kama hilo! Nawashukuru kwa ushauri maana unapunguza mzigo nilikuwa nabeba, kwa sasa kazi si tatizo tena kwangu..
 
Niliingia katika mahusiano na wewe mwanamke kipindi kile na graduate, nikakupenda kwa moyo wangu wote, pamoja na kuishi katika mikoa tofauti nikawa mwaminifu kwako sikuwahi kuchepuka hata kidogo, nilijitahidi kwa moyo wangu wote kwa kadiri kulingana na uwezo wangu kudumisha pendo langu, wakati mwingine niliwadanganya wazazi naenda kwenye interview (MUNGU anisamehe) wanaponipatia nauli na fedha ya kujikimu basi nakuja kukutembelea.

Hii ilibaki kuwa siri yangu baada ya miaka mitatu changamoto ya ajira ikaendelea, pasipo kujali upendo wangu kwako ukanipiga chini baada ya kupata wa kukuoa, miezi nane mbeleni ukafunga ndoa. Haukujali ahadi nyingi na nadhiri tulizoziweka mbele za MUNGU na pia mbele za wazazi.

Niliumia saaana siwezi kusahau, Dunia nzima ilinielemea, maisha yakawa machungu kama chloroquine... Lakn siku zikasogea. Ni mwaka wa nne huu Moyo umekufa ganzi, sijawahi kabisa kuwa na hisia za mapenzi teena, Huwa namwomba MUNGU anipe moyo wa kusamehe na kusahau ili moyo uwe na amani niweze kusonga mbele nashindwa kabisaa kusamehe na kusahau...

Nakuchukua sana na kamwe sitakusamehe we mwanamke kwa ulilonitendea
Aisee pole xana bro but jitahidi kusamehe ili moyo wako upate kupona vidonda kwan katika maisha tunapitia changamoto nyingi sana na kutoswa ktk mapenz kusikfanye uone kama maisha hayana thaman tena Bali bado thaman yake ni kubwa tu kwan mlango mmoja wa baraka ukifungwa IPO mingi zaidi imefunguliwa kwan usimfanye MTU kipaumbele chako wakati yeye anakuona ni optional
 
Wakati mwingine mnalaumu watoto wawatu bure kusubiria si mchezo.pole kwa maumivu ya mapenzi lakin naweza kumuelewa huyo dada pia life is more than what you feel.pengine alifanya maamuzi sahihi
 
mkuu nakuelewa sana yani

cc

atoto

Ndio taabu ya kuingia yamini na vitu usivyovijua, hapo hatakiwi kumlaumu mtu au kumchukia, ajilaumu mwenyewe kwa kutokuwa na maarifa.

Na kutomuachilia ndio anaendelea kujiumiza, wakati mwenzie walaaa anakula mema ya nchi.
Kusubiria kwenye hamna napo yataka moyo wa chuma.

When you decide to follow yo heart take yo brain with you.
 
Ndio taabu ya kuingia yamini na vitu usivyovijua, hapo hatakiwi kumlaumu mtu au kumchukia, ajilaumu mwenyewe kwa kutokuwa na maarifa.

Na kutomuachilia ndio anaendelea kujiumiza, wakati mwenzie walaaa anakula mema ya nchi.
Kusubiria kwenye hamna napo yataka moyo wa chuma.

When you decide to follow yo heart take yo brain with you.
wise girl
 
Niliingia katika mahusiano na wewe mwanamke kipindi kile na graduate, nikakupenda kwa moyo wangu wote, pamoja na kuishi katika mikoa tofauti nikawa mwaminifu kwako sikuwahi kuchepuka hata kidogo, nilijitahidi kwa moyo wangu wote kwa kadiri kulingana na uwezo wangu kudumisha pendo langu, wakati mwingine niliwadanganya wazazi naenda kwenye interview (MUNGU anisamehe) wanaponipatia nauli na fedha ya kujikimu basi nakuja kukutembelea.

Hii ilibaki kuwa siri yangu baada ya miaka mitatu changamoto ya ajira ikaendelea, pasipo kujali upendo wangu kwako ukanipiga chini baada ya kupata wa kukuoa, miezi nane mbeleni ukafunga ndoa. Haukujali ahadi nyingi na nadhiri tulizoziweka mbele za MUNGU na pia mbele za wazazi.

Niliumia saaana siwezi kusahau, Dunia nzima ilinielemea, maisha yakawa machungu kama chloroquine... Lakn siku zikasogea. Ni mwaka wa nne huu Moyo umekufa ganzi, sijawahi kabisa kuwa na hisia za mapenzi teena, Huwa namwomba MUNGU anipe moyo wa kusamehe na kusahau ili moyo uwe na amani niweze kusonga mbele nashindwa kabisaa kusamehe na kusahau...

Nakuchukua sana na kamwe sitakusamehe we mwanamke kwa ulilonitendea
Acha ukilaza wewe unawaza sema unampenda k ambaye hukuwahi mchamba
 
Wewe endelea tu kubaki na mihasira yako...

Si ajabu kabla ya kuwa na wewe kuna mtu alipigwa chini pia...

Sasa wewe badala ya kushukuru kuwa bora kakuacha kwa kuwa hakuwa wako, wewe unajiapiza tu...

Je kipi bora angekuwa nawe na aendelee kucheat au hivyo ambavyo kaona bora akuache?
 
Duh hii bongo movie au bollywood, mwanaume mzima bado unalalama miaka minne ishapita. Sidhani kama alikuwacha kwasababu hakupendi isipokuwa ndoa kwanza inapangwa na Mungu. Halafu ndoa ni kama biashara mteja atakaeleta posa mwanzo ndie anaetaka kununua bidhaa. Nje angelikusubiri wewe halafu ukabadili gia angani ingekuwaje.??[emoji15]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kwani Mkuu, mlizaliwe nae tumbo moja? Huwa napenda na napendwa sana ila huwa sipendi kujiwekea guarantee maamuzi ya mtu mwingine au kumtwisha mtu niliekutana nae ukubwani mzigo wa kunipenda milele! Akiamua kudumu na mimi, iko poa lakini sitashangaa atakapoamua kuhamisha mapenzi na kumpa mwingine maana sio kitu nachoweza kucontrol. Wanawake wako wengi, bado sijashindwa kumpenda mwingine na kupendwa na mwingine.
 
Mimi sio mwanaume wa DSM bro, usije nisingizia bure, ni kweli madem ni wengi lakn hisia ndio shida
Acha kuishi kama mtu mwenye mapungufu, alipokuacha hakuondoka na kiungo chako chochote, bado wewe ni yule yule uliemvutia mwanzoni na unao uwezo wa kumvutia mwingine pia. Kitendo cha kuacha kuamini kuwa utampata mwingine atakaekupenda kwa dhati na wewe kumpenda pia, ni dalili kuwa huna ujasiri wa kiume wa kutatua maswala yako binafsi maana unaendeshwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo ulivyo. Huyo alikuona humfai na akaamua kusonga mbele, wewe unakwama hapo ili iweje? Uonewe huruma?
Mwanaume huwa anasonga mbele na mambo ya nyuma anayachukulia kama funzo na sio kikwazo cha kufanya ya sasa. Acheni kuangalia tamthilia za mapenzi zinadhoofisha hisia na mnaishia kujiua kwa mambo yenu ya I love you!
 
Hongera kwa binti, pengine ungepata kazi angelia yeye, wanawake wengi wanavumilia wanasubiria miaka kibao mwisho anaolewa mwingine.
 
nilikua kama wewe ....mpaka nilipokuja kuelewa thamani yangu ,nini nifanye kwa ajili ya furaha yangu ,,now i'm over it nimesonga mbele kinoma yan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom